Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,463
- 40,965
Wewe una matatizo yako. Namfahamu huyu bwana na nilifanya kazi Bulyanhulu. Unaweza kutoa mfano japo mmoja wa namna alivyowanyanyasa wafanyakazi? Nijuavyo hakuwa na direct contact na wafanyakazi. Kazi zake zaidi zilikuwa kwenye corporate, wewe alikunyanyasaje?Deo na alaaniwe Milele na kizazi chake!
Dhulumati kubwa na jitu lililonyanyasa sana watz wenzalo pale Acacia.
Sina shaka, yawezekana ulikuwa na matatizo ya kiutendaji. Siku zote utabakia kulaumu watu wengine wakati matatizo yapo upabde wako.
Sent using Jamii Forums mobile app