Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
Jamaa akiwa katika tuongee startv asubuhi anasema tatizo tanzania sio chama chamapinduzi kinacho leta umaskini tanzania ila tatizo ni viongozi wenyewe, pia amevilaumu vyama vya upinzani kuwa havina viongozi ila vina wanaharakati kwakua hawaja andaliwa kiuongozi, tatizo la watu ni kuwaonea wivu wenye madaraka
source tuongee asubuhi
source tuongee asubuhi