Deo Kisandu aingia studio kutoa album, Rayvanny, Harmonize na Darasa matumbo joto

alishaweka docs za hospital alizopimwa na kuonekana ni mzima hana tatizo la akili

tatizo alilonaloni la maumbile yakekua madogo kama ya mtoto wa darasa la pili na anasubiri dawa alioiagizia ifike, bahati mbaya uzi ule mods wakaufuta.
Toka corona toleo la pili liingie sijacheka hivi kama leo kwenye hii comment
 
alishaweka docs za hospital alizopimwa na kuonekana ni mzima hana tatizo la akili

tatizo alilonaloni la maumbile yakekua madogo kama ya mtoto wa darasa la pili na anasubiri dawa alioiagizia ifike, bahati mbaya uzi ule mods wakaufuta.
Usikute ameamua kuwa vyovyote ili atengeneze brand yake.
 
Sioni tofauti ya Deo Kisandu na jamaa flan wa Tunduma anatokea sana mitandaoni
 
Hajawahi kukamatwa lakini kwasababu za kuikosoa wala kuikashfu serikali.

Alikamatwa kwa mambo yake binafsi tu, kwa kuandika maneno Facebook yasiyo na tasfida
Nyuma ya hicho unachokifahamu kuna makubwa yaliokuwa yanamkabili Deo wakati ule.
 
Jamaa anajitahidi. Mimi nilimshauri kama anataka kweli kupta pesa kwenye Muziki, aimbe Kisukuma.

Anaweza kuchangana na Kiswahili.

Kanda ya Ziwa, mzunguko wa shows kwa nyimbo za aina hiyo ni mkubwa.

Na kuna Wasanii kibao kama kina BK Sande, Bhudagala, Mchelemcheke, Ya Leo kali, Lady Killy,

Tatizo lake anavunga Chris Breezy, anaimba Kiingereza
Nilifikiria kama wewe, hizi nyimbo anazoimba ni "modern sukuma" kwa kutumia kiswahili na kiingereza, anachotakiwa ni kuingiza lugha ya kisukuma tu atazikimbia hela!!! usukumani, sasa hivi kuna muvi zilizotafsiriwa kwa kisukuma zinauza balaa
 
Deo ni noma anaimba mpaka anaboa hata bila beat goma linachezeka kimanyoko zake
 
View attachment 1696853
Mpaka sasa taarifa inayotambaa na kutrend mitandaoni ni inshu ya msanii wa kizazi kipya Don Nalimison maarufu kama Deo Kisandu kuachia album yake iliyopewa jina ANTIBIOTIC ALBAM.
Baada tu yakutangaza ujio wa albamu hiyo wachambuzi wakubwa wa muziki waliwaonea huruma wasanii kadhaa wa bongo fleva waliotoa albamu zao hivi karibuni kuwa walifanya vibaya kutoa albam kipindi kimoja na Kisandu wasanii hao ni Harmo, Rayvann na Darasa na wengine wakishauriwa kuacha kutoa albam zao mpaka Kisandu akimaliza mwaka sokoni.
Albamu hiyo inabeba mambo kadhaa ikiwemo maisha ya jela, mahusiano na mtoto wa rais(Malia Obama), mitandao ya kijamii na maisha ya siasa.
Stay tuned kupata taarifa hapa hapa JF
Wehu wenzake
 
Nilifikiria kama wewe, hizi nyimbo anazoimba ni "modern sukuma" kwa kutumia kiswahili na kiingereza, anachotakiwa ni kuingiza lugha ya kisukuma tu atazikimbia hela!!! usukumani, sasa hivi kuna muvi zilizotafsiriwa kwa kisukuma zinauza balaa
Eboooooooh khaaaaah
 
Back
Top Bottom