Simba mnyama
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 348
- 129
Hivi punde katika Kongamano ya miaka 51 baada ya uhuru, mwasiasa machachari na mbuge wa Ludewa Mh. Deo Filikunjombe ametoboa ukweli kuwa kuna kasumba na dhana potofu miongoni mwa watanzania wakidhani kuwa nchi hii (Tanzania) ni mali ya CCM. Hii nchi si mali ya CCM bali ya watanzania. Nimeipenda sana hiyo. Nape unayedhani kuwa hii nchi ni mali ya CCM umepotea, pata hiyo shule.