Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 8,556
- 11,493
amezitaja nchi zinazoongoza kwa kukopa ni Afghanistani, Irak na Tanzania
mkuu! Afghanistan na Iraq ni nchi ambazo zimepita katika vita sio ishu hata zikiwa omba omba sio hii tanzia ina miaka 51 ipo huru inaomba mpaka vyandarua na raisi anahongwa suti na waarabu hii ni aibu sana