Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,516
- 1,404
Kweli tena Used la mwaka 1989. That is nothing comparing to what they are getting from us!Watanzania thamani yetu ni ndogo sana. Kagari ka wagonjwa. Iwe ni mbunge wa CCM au chama kingine chochote, si kazi yake kununuwa gari la wagonjwa na kutangaza, ili iweje?
Rushwa ni za aina nyingi sana, hii ni mojawapo.
Nilitegemea wabunge wasimamie mambo mazito ya kubadilisha maisha ya watu.