ijoz
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 731
- 709
Habari wadau wa JF.
Ktk pambano la wabunge ambao ni mashabiki wa timu za Simba na Yanga timu ya simba ilishinda 3-2.
Miongoni mwa wachezaji wa yanga alikuwa mbunge wa Ludewa,
Deo Filikunjombe.
Kichekesho ni pale Filikunjombe alipohojiwa na waandishi wa habari sababu za yanga kushindwa. Yeye alidai simba imemchezesha Maji Marefu ambao dunia nzima inafahamu kuwa yeye ni mchawi ndo maana wao yanga wamefungwa.
Sasa was he serious or just joking?
Ktk pambano la wabunge ambao ni mashabiki wa timu za Simba na Yanga timu ya simba ilishinda 3-2.
Miongoni mwa wachezaji wa yanga alikuwa mbunge wa Ludewa,
Deo Filikunjombe.
Kichekesho ni pale Filikunjombe alipohojiwa na waandishi wa habari sababu za yanga kushindwa. Yeye alidai simba imemchezesha Maji Marefu ambao dunia nzima inafahamu kuwa yeye ni mchawi ndo maana wao yanga wamefungwa.
Sasa was he serious or just joking?