kibhopile
JF-Expert Member
- Aug 5, 2010
- 1,507
- 753
Habari zenu,
Jamani mimi ninaomba Msaada, kuna kitu kinaitwa dental implant hii ni Nasikia ni permanent solution ya teeth lost yaani ni zaidi ya dentures. so nauliza kwa hapa bongo ni hospitali zipi zinatoa huduma hiyo na cost yake inarange vipi.
Thanks.
Jamani mimi ninaomba Msaada, kuna kitu kinaitwa dental implant hii ni Nasikia ni permanent solution ya teeth lost yaani ni zaidi ya dentures. so nauliza kwa hapa bongo ni hospitali zipi zinatoa huduma hiyo na cost yake inarange vipi.
Thanks.