Denmark kufunga Ubalozi wake nchini Tanzania ifikapo 2024

Kwanini Nairobi na siyo sisi ?!. Umewahi kujiuliza hilo !
Kwa sababu Kenya wana ofisi za Ubalozi kwao. Kwa mfano, wakati Australia ilikuwa inahudumiwa na Balozi wetu aliyekuwa japan, ambaye ndiye aliyekuwa anahudumia nchi zote za ukanda huo mpaka New Zealand; Kenya walikuwa na ofisi tatu za Ubalozi Australia (Canberra, Sydney na Melbourne), halafu vile vile walikuwa na Ofisi ya Ubalozi Japan huko Tokyo, na ofisi ya Ubalozi New Zealand huko Wellington.
 
Wengi wamesoma juujuu tu. Ila Denmark wanafunga ofisi Tanzania kwa sababu chanya kabisa. Walifungua ofisi ya ubalozi mwaka 1963 kwa ushwishi wa J K Nyerere ili kutusaidia kwenye maeneo ya elimu, afya, maji na utawala Bora. Baada ya miaka 60 wametathmini wameona tumepiga hatua kubwa, hivyo basi ni not waende wakatumie raslimali zao kwenye nchi zilizo na uhitaji zaidi za eneo la Sahel.

Nchi za Sahel ni Mauritania, Mali, Niger, Burkina Faso and Chad zina face "many challenges, including chronic insecurity, rising extremism, a lack of economic prospects, and poor access to education, employment and essential services such as water and electricity. Climate change is weakening the region even more" (Google).

Namnukuu Balozi anasema; "Kipaumbele changu kama Waziri wa Mambo ya nje ni kuhakikisha usalama wa watu wa Denmark katika ulimwengu ambao demokrasia, haki za binadamu, na madili yetu vinakandamizwa."

Kwa maneno hayo wanakokwenda ni kule kunakokandamiza haki za binadamu yaani Mauritania, Mali, Niger na Chad.

Kama unabisha nenda katafute democracy index kwenye ripoti ya Economic Intelligence Unit (EUI)

Wapi waziri wa mambo ya nje wa Denmark ameandika haya unayoyaandika hapa? Mwaka jana Denmark walitoa report ya mpango wa kuondoa misaada Tanzania kutokana na kuzorota kwa demokrasia na haki za binadamu-Usifanye cheap politics hapa kwa wasiojua.Wanachama wa CCM punguzeni mihemuko na propaganda
 
Kwa sababu Kenya wana ofisi za Ubalozi kwao. Kwa mfano, wakati Australia ilikuwa inahudumiwa na Balozi wetu aliyekuwa japan, ambaye ndiye aliyekuwa anahudumia nchi zote za ukanda huo mpaka New Zealand; Kenya walikuwa na ofisi tatu za Ubalozi Australia (Canberra, Sydney na Melbourne), halafu vile vile walikuwa na Ofisi ya Ubalozi Japan huko Tokyo, na ofisi ya Ubalozi New Zealand huko Wellington.
Kichuguu elewekeni . Kwa hiyo tunajivunia kutokuwa na ubalozi kwenye nchi iliyofungua ubalozi wao hapa kuanzia 1963 ?!. UPUUZI
 
Kichuguu elewekeni . Kwa hiyo tunajivunia kutokuwa na ubalozi kwenye nchi iliyofungua ubalozi wao hapa kuanzia 1963 ?!. UPUUZI
Shida ni kwamba mambo ya msingi wanaleta propaganda-Waziri wa mambo ya nje ya Tanzania anaporomosha mabarua huko kusikitika kutokana na uamuzi waliouchukua denmark licha ya kuwasihi-lakini vichwa maji wengine wanaaminisha watu everything is just fine.Ni ujinga tu
 
Kichuguu elewekeni . Kwa hiyo tunajivunia kutokuwa na ubalozi kwenye nchi iliyofungua ubalozi wao hapa kuanzia 1963 ?!. UPUUZI
Hatujivunii, ila huo ndio udhaifu wetu. Nimeshatembea nchi nyingi sana nikakuta kuwa ofisi za ubalozi wa Kenya huwa ni kubwa na nzuri sana kuliko ofisi za ubalozi wa Tanzania, na Kenya ina balozi katika nchi nyingi sana duniani kuliko Tanzania. Kabla ya kuanza kulalamika kwa nini nchi zinafunga balozi zao hapa, lazima tutatue tatizo la sisi kutokuwa na ofisi za ubalozi nchini kwao !!
 
Toka 1963 hawakuuleta ndiyo watake leo ?!
Ndio maana wanaondoka, kazi imeisha
Malengo pengine yameshafikiwa,
Kama us wanavyoondoka Afghanistan, kazi imeisha wameshasambaratisha maisha ya watu pale basi wanawaachia wamalizane wenyewe
Wazungu si wa kuamini saanaaa
 
Wapi waziri wa mambo ya nje wa Denmark ameandika haya unayoyaandika hapa? Mwaka jana Denmark walitoa report ya mpango wa kuondoa misaada Tanzania kutokana na kuzorota kwa demokrasia na haki za binadamu-Usifanye cheap politics hapa kwa wasiojua.Wanachama wa CCM punguzeni mihemuko na propaganda
Leta hiyo ripoti tuione kama ni genuine siyo kutoka povu bila kuwa na data
 
Tumpe muda mkuu,,,si umiona bei ya pamba kutoka 810 adi 1800. Uyu mama ana nia njema na wananchi, pia rais wawanyonge. Ivyo tumpe muda everything will be okey.
Vipi kwa wasio wakulima wa pamba nao?Miezi 5 aliyonayo kama raisi ameshawanyonga hao wanyonge karibia katika kila sekta anatoza kodi mbili mbili

Sitarajii mabadiliko yoyote
 
Kichuguu elewekeni . Kwa hiyo tunajivunia kutokuwa na ubalozi kwenye nchi iliyofungua ubalozi wao hapa kuanzia 1963 ?!. UPUUZI
Kuwa na Ubalozi kila nchi ulimwenguni sio ufahari. Jikune pale unapoweza na huwezi kumlazimisha mwingine awe na Ubalozi nchini mwako.
 
tuache kulialia na kutegemea watu kujenga nchi zetu.....wao walijengewa na nani...tujikaze watoto wa kiume tujenge Taifa letu nalo siku tukifunga ubalozi huko nao watetemeke.... kama wanaume wote tunaona na kukubalian CCM ndio shida tunashindwa nini kuitoa kwa kuivimbia ili tuache kulia lia kwa wazungu na kulilia passport zao ilihali mnakwetu na wenzenu wanakwao babu zao walikujenga...Jengeni kwenu watoto wenu wawe proud na passport za kwao...
Ingekua una maanisha basi sisi ndio tungeanza kuwafukuza na sio tungojee waondoke ndio tusema "..lia lia na tegemea watu.."

Yani unakua sawa na yule sungura aliye sema sitaki hizi mbichi...

Upuuzi mtupu.
 
tuache blah blah....wao waliijenga Denmark kwa demokrasia na diplomasia? Denmark ilijengwa kwa mijeledi na damu na sio kuleanaleana na kubembelezana.... Hizi issue ya demokrasia mara diplomasia ndio zinalemaza waAfrica na mataifa mengine masikini kwa kudanganywa Mzungu na Mchina atawaletea maendeleo mdomoni ilihali wao hawakuletewa maendeleo zaidi ya kushurutishwa kufanya kazi kwa mijeledi..
Na bado
 
Gwajima tuliambiwa atawika leo viungani,inaelekea keshageuzwa mtetea 🤣 🤣 🤣
 
Ingekua una maanisha basi sisi ndio tungeanza kuwafukuza na sio tungojee waondoke ndio tusema "..lia lia na tegemea watu.."

Yani unakua sawa na yule sungura aliye sema sitaki hizi mbichi...

Upuuzi mtupu.
Mentality za kijani hzo kaka,utaumiza kichwa bure 🤣🤣
 
Msimamo wa Sweden ukielezewa na waziri Peter Eriksson kuhusu haki za binadamu na uhuru wa kujieleza kwa visingizio cha 'Uzalendo' na kuwabatiza wenye mawazo mbadala 'wasaliti'


13 May 2019
Minister for International Development Cooperation Peter Eriksson talks about the most important political issues during this electoral period and what changes he wants to see.
Source: Regeringskansliet
 
Back
Top Bottom