Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,324
- 18,479
Wakuu naweza kupata picha ya Omary Mahita!?
Wakuu naweza kupata picha ya Omary Mahita!?
Hii ishu imeiabisha Sana hii government kabisa.Tabu yote imeletwa na madai ya katiba mpya, shame government
Mambo ya hovyo unaogopa nini katiba mpya?Hii ishu imeiabisha Sana hii government kabisa.
Ni genge hili hili linaweza kujuwa Ben Sanane alipo?
Magufuli alikuwa ni shetani katika sura ya binaadam!
Kila Jumapili yupo kanisani na maigizo yake!
Akiri maelezo wanayotaka wao ili Urio awe shahidi wa dola.Hapo ndio hata mimi nilijiuliza, ngoja tuone mwenendo wa leo itakuwaje
Aisee kweli Sirro na SSH waitwe na Mahakama, wasimame kizimbani,Denis Urio atakuja upande wa utetezi, pia inasemekana kuwa Urio aliwatafutia kazi kwa Nia njema tu. Lazimi wachawi wakina kingai, Jumanne na Mahita wakageuza kibao.
Ngoja tuone, hata Sirro alitwe. Ikiwezekana hata Samia aitwe maana alisema wenzake na Mbowe wamefungwa waitwe kwa Order ya mahakama aeleze maelezo nani aliyempa hizo info.
Hii ni gepu zuri, Sana ukitaka kuwavuruga unaomba mahakama waje kizimbani ,alafu angalia watavyoanza kukanyaganaHahaa!!kwa mahakama zetu hizi kumuita rais aliyeko madarakani ni sawa na kuambiwa kamuite yesu!!!
Wanaogopa katiba mpya hitaji la wananchi na sio la Mbowe hata wakimfunga madai still yapo pale pale.Mambo ya hovyo unaogopa nini katiba mpya?
Familia ya mahita jina hili limewaletea watz maumivu mengi Sana ikiwemo mauaji pemba,na wengine ni wakimbizi Ulaya,kisa shibe tu halafu msikitini awakosi, maisha yenyewe ya kupita haya.Hawezi kwenda mahakamani kutoa ushahidi kwa sababu kesi yenyewe ni ya kutungwa
Sema huyu bibi ni katili haswaWanaogopa katiba mpya hitaji la wananchi na sio la Mbowe hata wakimfunga madai still yapo pale pale.
Ni aibu sana kuongozwa na katiba mfu.
Shida ya mwanamke ukimpa madaraka ajiamini ukimbilia jenda KILA kitu kuhisi wanadharauliwaSema huyu bibi ni katili haswa
Ni mtu wa hovyo snShida ya mwanamke ukimpa madaraka ajiamini ukimbilia jenda KILA kitu kuhisi wanadharauliwa
Tza mtawala yeyeto asiyetenda haki na kuonea watu lzm anasambaratika huwa saa 12 jioni awafiki,haya ni maagano.Ni mtu wa hovyo sn
Kama yupi mkuu?Tza mtawala yeyeto asiyetenda haki na kuonea watu lzm anasambaratika huwa saa 12 jioni awafiki,haya ni maagano.
Soma historia.wanachomeka kuzimu saa hizi, maisha yenyewe ya kupita hata ukitesa,ukijilimbikizia kodi za wananchi ni kuukimbiza upepo tu unakufa unaviacha,unasaulika,basi haliwezi simama kwa kukosa dereva,ukifa ni hasara yako na familia yako anamkamata dereva mwingine linaendaKama yupi mkuu?
Sawa mkuuSoma historia.wanachomeka kuzimu saa hizi, maisha yenyewe ya kupita hata ukitesa,ukijilimbikizia kodi za wananchi ni kuukimbiza upepo tu unakufa unaviacha,unasaulika,basi haliwezi simama kwa kukosa dereva,ukifa ni hasara yako na familia yako anamkamata dereva mwingine linaenda