alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 5,679
- 12,128
Ukiacha mohamed ling'wenya na adamoo ambao ni maaarufu kuna mtuhumiwa mwingine yeye hufungwa pingu peke yake naye ni commandoo? Anaitwa nani?Denis Urio na Moses lijenje huenda Hawa wote waliuwawa.