Kwa watanzania wote wenye mapenzi mema suala hili pengine linahtaji mjadala wa kitaifa juu ya Deni la Taifa ambalo sasa linafikia takribani trilion 17.1, nimeangalia jinsi linavyoendelea kupanda kila kukicha, mwaka 2008 lilikuwa trilion 7.6 mwaka 2009 Trilion 10.5 na sasa trilion 17.1
Yaani hii inamanisha kwamba wanaolidai taifa wakisema ndani ya mwaka 2011/2012 tulipe deni lote. Deni hilo litakomba bajeti yote ya Mkullo na tutafungwa maana haitatosha.
Ndiyo maana nikatangulia kusema hapa mjadala wa kitaifa ni muhimu , uchumi wa nchi hii uko ICU, sijui wadau mnasemaje juu ya hili
Yaani hii inamanisha kwamba wanaolidai taifa wakisema ndani ya mwaka 2011/2012 tulipe deni lote. Deni hilo litakomba bajeti yote ya Mkullo na tutafungwa maana haitatosha.
Ndiyo maana nikatangulia kusema hapa mjadala wa kitaifa ni muhimu , uchumi wa nchi hii uko ICU, sijui wadau mnasemaje juu ya hili