Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
#NipasheBUNGENI "Hadi kufikia Agosti mwaka huu deni la Taifa lilifikia Dola bilioni 52, ikilinganishwa na Dola bilioni 49.2 katika kipindi cha Agosti mwaka jana, hivyo deni bado ni himilivu" - Waziri wa fedha na Mipango, Dkt. Mpango.