Watu wa mahisabati hebu tuambieni hiyo tirion ina sifuri ngapi? tuongeze mastress
Hakuna nchi isiyodaiwa hapa duniani! so sio issue kuubwa kihivyo! Hata wanaotupa misaada wana madeni makubwa sana!
Hakuna nchi isiyodaiwa hapa duniani! so sio issue kuubwa kihivyo! Hata wanaotupa misaada wana madeni makubwa sana!
Wenzetu wanakopa kujenga madaraja, barabara sisi tunakopa kulipa mishahara na mafuta ya mashangingi!
mkuu tume,Hakuna nchi isiyodaiwa hapa duniani! so sio issue kuubwa kihivyo! Hata wanaotupa misaada wana madeni makubwa sana!
Nikuweke kundi gani la watu, chagua wewe, kuna kundi la wajinga, wapumbavu na mbumbumbu, hata hivyo utakuwa umpependelewa kuwekwa kwenye makundi hayo , upeo wako ni sifuri
mkuu nchi ilishauzwa hujui?nchi haina pesa ila viongozi wana pesa hadi zingine wameficha visiwa vya ulaya.Aiseee! Nchi inauzwa hivihivi!!!!!!!!!