Deni la Taifa: Kutoka trilioni 10.5 hadi trilioni 14.4 kwa mwaka?

Watu wa mahisabati hebu tuambieni hiyo tirion ina sifuri ngapi? tuongeze mastress
 
Hii noma....sijui mie nadaiwaga mahera mangapi hapo, nilisikiaga last time ilikuwaga kama laki 3 na ujinga fulani hivi..aaa?
 
... ni kichefuchefu kwa mtindo huu wa kuendesha uchumi wa nchi yetu; maneno kibao midomoni na majukwaani na kazi sifuri kwa sehemu kubwa ya viongozi 'wetu' wanaojipa vyeo vy kila aina kwa njia ya UCHAKACHUAJI.

Hakika hadi hapo, kuna hatari kubwa ya kudharaulika mno huko ktika jumuia ya kimataifa na Tanzania kupoteza uhuru wake wa 'kutetea chochote' kwa kuwa ni MDENI KWA KILA NCHI NA TAASISI kaadhaa za huko kwa wenzetu.

Lakini, enyi MAFISADI msiokua na huruma hata chembe na taifa, je tumefikaje hapa???
 
Hakuna nchi isiyodaiwa hapa duniani! so sio issue kuubwa kihivyo! Hata wanaotupa misaada wana madeni makubwa sana!
 
Hakuna nchi isiyodaiwa hapa duniani! so sio issue kuubwa kihivyo! Hata wanaotupa misaada wana madeni makubwa sana!


Wenzetu wanakopa kujenga madaraja, barabara sisi tunakopa kulipa mishahara na mafuta ya mashangingi!
 
nijuavyo mimi nina deni la mahari tu,sh. Laki tatu hilo jingine ni la jakaya and co.
Msinipakazie bure!
 
Saizi nimetoka kutoa salamu za rambirambi mjini shinyanga.Duuuh Kumbe ndo maana naona gari hilifiki haraka kumbe tumeuzwa.R.I.P BOB MAKANI mwambie Nyerere kwamba kile alichokiacha kimeuzwa,la zaidi kila mtanzania anadaiwa na nchi za magharibi.It is a bad news but namwomba Mungu tufike salama SAUT.
 
Watanzania hamna sababu ya kulalamika! Mambo mengine mnayataka wenyewe!! Ndiyo malupulupu ya kuweka ushabiki wa Yanga na Simba katika siasa bila kuangalia uhalisia wa mambo. Kwa kuwa kura mlipiga wenyewe, basi vumilieni!! Hadi 2015 mtakuwa mmepata akili!!
 
Hakuna nchi isiyodaiwa hapa duniani! so sio issue kuubwa kihivyo! Hata wanaotupa misaada wana madeni makubwa sana!

Nikuweke kundi gani la watu, chagua wewe, kuna kundi la wajinga, wapumbavu na mbumbumbu, hata hivyo utakuwa umpependelewa kuwekwa kwenye makundi hayo , upeo wako ni sifuri
 
  • Thanks
Reactions: UKI
Gaddafi anaondoka madarakani,LIBYA ilikua haina deni wana mafuta tuu,hakuna hata mmea!SISI JEEEEEE?
 
Wenzetu wanakopa kujenga madaraja, barabara sisi tunakopa kulipa mishahara na mafuta ya mashangingi!

Mkuu JFM hii ni propaganda na serikali ya chama cha mapinduzi kupitia aliyekuwa waziri wake wa fedha mustafa mkulo alikanusha, na kubainisha makusanyo ya kodi ikilinganishwa na matumizi ikiwemo mishahara. Kwa hiyo sio kweli hata kidogo kuwa misaada inatumiwa kwa mishahara.

Hizi ni propaganda za kina zitto.
 
Hakuna nchi isiyodaiwa hapa duniani! so sio issue kuubwa kihivyo! Hata wanaotupa misaada wana madeni makubwa sana!
mkuu tume,
sisi ni masikini na tunadaiwa,hizo nchi unazosai kuwa zinatusaidia na zinadaiwa ungetaja japo mbili alafu uzifananishe na tz. Pesa wamekula hao ccm na usitafute kuwatetea hapa!
 
Hii sasa ni hatari tunaelekea kuwa kama Ugiriki. Hivi wanakopa wanafanyia nini hizo fedha maana barabara full vumbi, watoto wanakaa chini shuleni, hospitali hazina dawa!! Kweli CCM ni janga la kidunia, 2015 ifike haraka watuachie nchi yetu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Nikuweke kundi gani la watu, chagua wewe, kuna kundi la wajinga, wapumbavu na mbumbumbu, hata hivyo utakuwa umpependelewa kuwekwa kwenye makundi hayo , upeo wako ni sifuri

Asante kwa maoni yako mazuri, ila nina wasiwasi sana na upeo wako kuhusu madeni ya taifa. Karibu nchi zote hapa duniani zina madeni, tena tanzania ni afadhari. Angalia nchi kama ugiriki, spain na nyenginezo wana mizigo ya madeni.

Only issue, ni je hiyo misaada(mikopo) inatumikaje? Mwenye uwezo wa kujenga hoja hapa ni yule atakayetuletea mchanganuo wa hiyo misaada tunayopata TZ tunaipeleka katika shughuli gani in comparison to other countries. sio UTULETEE FIGURE tu hapa. huu ni upuuzi.
 
Back
Top Bottom