Mkuu swali zuri.. actually madhara ya kushindwa kulipa deni yatachofanya ni kwamba, nchi itakuwa down graded na wakopeshaji.
Na ukiwa downgraded maana yake huwezi kukopesheka tena.
Lakini impact kubwa huwa inakuwa ni trickle down effect ya kitachotokea baada ya kushindwa kulipa madeni.
1. Wawekezeji watakimbia maana macro fundamentals zita deteriorate.
2. Mfumuko wa bei
3. Pesa itashuka thamani kwa kasi..
4. Nchi inaweza kushindwa kumudu baadhi ya matumizi ya muhimu kabisa..
Yaani ikitokea, impact yake itakuwa ni mambo mengi magumu yatatuandama sana kwenye uchumi
Hizo hapo juu ndio athari zinazozipata nchi zinazoshindwa kulipa madeni yake [ INSOLVENT; NOT CREDIT WORTHY} Na nchi ikifikia hatua hizo ndio utasikia nchi ina machafuko, haitawaliki kwa sababu ya vurugu, yakiwemo maandamano yasiyokwisha na hatimaye JESHI huingilia kati na kupindua serikali!!!!