Deni la Kenya lazidi kupaa ujenzi wa SGR

radika

JF-Expert Member
Jul 15, 2014
20,427
32,193
Deni la Kenya kwa China limepanda kufikia TZS 14.5 trilioni kwa miezi 12 kufikia Juni 2019, kufuatia kuchukua mkopo mpya wa TZS 2.2 trilioni katika kipindi hicho kwa ajili ya SGR. China ndiyo inaongoza kwa kuwa mkopeshaji mkubwa wa Kenya (bilateral lender), ikifuatiwa na Japan.

IMG_0683.JPG
 
Haya Watanzania anzeni kushusha lawama za kitanzania kwenda kenya 😔!
 
kwani hili dude lao si linapiga kazi kwanini lisilipe pesa ya mkopo!
 
Deni la Kenya kwa China limepanda kufikia TZS 14.5 trilioni kwa miezi 12 kufikia Juni 2019, kufuatia kuchukua mkopo mpya wa TZS 2.2 trilioni katika kipindi hicho kwa ajili ya SGR. China ndiyo inaongoza kwa kuwa mkopeshaji mkubwa wa Kenya (bilateral lender), ikifuatiwa na Japan.

View attachment 1194955
Nonsense alarmist thread.

Kila mwaka Kenya inaongeza uchumi wake kwa takriban $10billion sasa wewe unapuruka sababu ya deni la $5bn jameni? Pilipili usiokula wakuwasha nini?

Ngoja utaona uchumi wa Kenya ukipanda juu mwaka huu kwa Tanzanian shlllings 23 trillion.
 
Jiwe gizani bila shaka, maana si kwa povu lote hili
Nonsense alarmist thread.

Kila mwaka Kenya inaongeza uchumi wake kwa takriban $10billion sasa wewe unapuruka sababu ya deni la $5bn jameni? Pilipili usiokula wakuwasha nini?

Ngoja utaona uchumi wa Kenya ukipanda juu mwaka huu kwa Tanzanian shlllings 23 trillion.
 
Hakuna jibu la kijeuri ila inaonyesha umekuzwa mazingira ya neno la kawaida kwako ni ujeuri.

Nimejibu kulingana na ulichoulizwa, mimi siyo mchumi.
Unataka nikusaidieni uchambuzi wa kiuchumi utakusaidia ww mwenyewe na jeuri yako hiyo
 
Back
Top Bottom