Demu wa Kimarangu noma

Kifulambute

JF-Expert Member
May 8, 2011
2,539
755
kweli hawa mademu wa kimarangu ni soo wanapenda sana kuomba omba. ukimtokea tu siku hiyo hiyo anakubali then kesho yake tu atasikia.....jamani kuna ndg yangu ana shida ya elfu.xxxx naomba unisaidie..crap.
 
Sio wote labda wako uliyekutana naye alikuwa na tatizo tu,lakini siyo kwel
 
Crap ni ulichoandika hapa!!

Tabia ya mtu ni ya mtu na sio ya kabila...kwahiyo acha na ulimbukeni wa ukabila.Wanawakekwa wanawake kibao wanaomba omba huko mjini wakati hata Marangu hawajahi kupasikia alafu unaleta tuhuma za kijinga hapa.
Si ungesema tu baadhi ya wadada wa siku hizi?!Eti kisa Mmarangu...muone vile!!
 
kweli hawa mademu wa kimarangu ni soo wanapenda sana kuomba omba. ukimtokea tu siku hiyo hiyo anakubali then kesho yake tu atasikia.....jamani kuna ndg yangu ana shida ya elfu.xxxx naomba unisaidie..crap.

Wapenda vya dezo eeeh, kaa ukijua starehe gharama and ur sredi is the most crapiest. Wapo wengi tu kwanini kwanini uhangaike na wamarangu??Acha ukabila bana!!
 
Crap ni ulichoandika hapa!!<br />
<br />
Tabia ya mtu ni ya mtu na sio ya kabila...kwahiyo acha na ulimbukeni wa ukabila.Wanawakekwa wanawake kibao wanaomba omba huko mjini wakati hata Marangu hawajahi kupasikia alafu unaleta tuhuma za kijinga hapa.<br />
Si ungesema tu baadhi ya wadada wa siku hizi?!Eti kisa Mmarangu...muone vile!!
<br />
<br />
Mtoa mada jibu lako hili!
 
kweli hawa mademu wa kimarangu ni soo wanapenda sana kuomba omba. ukimtokea tu siku hiyo hiyo anakubali then kesho yake tu atasikia.....jamani kuna ndg yangu ana shida ya elfu.xxxx naomba unisaidie..crap.

Mkuu huwa unauliza kwanza kabila kabla ya kutokea? Miaka 50 ya uhuru bado tuna watu wa aina yako.Kazi ipo....
 
Mkuu unachemka sana kumtumia mtu mmoja ku judge kabila zima...huhitaji kwenda shule kujua hili.
 
B2aJPKyTfEjaAAAAAElFTkSuQmCC
 
Hapo umechemka sana kwa ku judge wamarangu wote kwa huyo mtu mmoja.Hata hivyo kwani kumsaidia uliona nini?
 
kweli hawa mademu wa kimarangu ni soo wanapenda sana kuomba omba. ukimtokea tu siku hiyo hiyo anakubali then kesho yake tu atasikia.....jamani kuna ndg yangu ana shida ya elfu.xxxx naomba unisaidie..crap.

Nadhani angalia palipo na red , wewe ni mtu wa vitu rahisi kabisa, utaki kugharamia , mahaba garama babuu? Je angekuambia nataka uninunulie kiwa au nyumba ungefanyaje? na koti na tai uliomtokea na yo ya jirani yako?
Umekosa uwezo wa kuchanganua mambo, huyo binti mlikutana na ye katika mazingira gani hadi akukubalie na kesho yake kukuambia anataka 5000TSHS ndio upige ukunga? nadhani umechoka, Tabia ya mtu si ya kabila. Kwani watu wote wa kabila lako wanatabia ya kugongagonga kama wewe?
 
Mademu wenye kipato duni n vigumu kuwatambua kama wamependa au shida ndio zinawaongoza kusema yes,
ila binafsi hal ya ss akin dada weng wananiboa kwanza kwa kujifanya wako juu kumbe manyoya tu ,
 
kweli hawa mademu wa kimarangu ni soo wanapenda sana kuomba omba. ukimtokea tu siku hiyo hiyo anakubali then kesho yake tu atasikia.....jamani kuna ndg yangu ana shida ya elfu.xxxx naomba unisaidie..crap.

Hayo ni mawazo na mtazamo wako binafsi,kama swala liko hivyo mbona ni mademu karibu wote wako na tabia hiyo,hujawaona mademu wa kichina wewe,unaishi dunia gani rafiki yangu.
 
Back
Top Bottom