tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Kuna mawili unaweza ukawa umeombwa mara mbili tu tena kwa mambo ya maana lakini kwa sababu wewe ni mbahili na mchoyo unaanza kuumwa roho, kama unampenda kweli kaa naye muongee umweleza maisha yalivyo na kipato chako mpange mtafanyaje, mapenzi kusaidiana bwana unashidwa kumsaidia leo kesho na wewe ukiwa na shida atakutosa.
ndiyo ni kusaidiana sema tatizo wadada wengi ni wagumu sana kutoa