demu wa brother angu anataka nile vya kaka, this weekend...should i escape?

Take care kaka.. Panania pana njia. Never try it, otherwise you live your lifetime to regret it
 
Akili kichwani mwako!, kama Kaka yako ni player, na hiyo timu nzima iliyomzunguka ni maplayer pia, kama wewe unataka ugudegude ili ufikie ugubegube later, nenda pia!
nimekuja kumtembelea brother angu kwake hapa mara moja, huyu ndugu yangu ni player sana, alioa but ndoa haikudumu, so ana wanawake kila kona hapa mwanza, sasa nina siku sita tangu nifike hapa but juz kalikuja demu wake mnyarwanda ni mzuri kweli, jamaa akaniambia nimpe kampan demu wake ye anapoenda kazini, so nimekaa nae siku ya kwanza, story nyingi sana, akafurahi kuwa jiran yang boss alipotoka job akabeba mzigo wake, na siku ya pili ni hivo ivo, so siku ya tatu alipokuwa anaondoka kurudi kwao akaniomba namba ya simu, nikachukulia ni shemeji nikampa, duh leo nimechat nae siku nzima akanitamkia hajaondoka kaenda kwa rafiki ake anarudi kwa ajiri yangu ijumaa, kwa siri nitamkuta lodge flani...kanambia she is madly in love with me ila bro asijue ataondoka jpili baada ya kumalizana na mimi...sijawai ambiwa hivi na mwanamke tangu nizaliwe nilishtuka sana...nafikilia cha kufanya sipat jibu, help please
 
Kula maana hakuna wanawake wengine. Alaf ukija kudai ARVS pale bugando ntakupa sumu ya panya ili ufe mapema usije ukatusumbua.
 
lol we ushakula hapa wajisafisha tu
wanyarwanda walivo na shape nzuri afu umwache hivi hivi mwee?
by the way sio mke wa broda we kula huenda ukaoa kabisa
 
Ogopa sana mwanamke anayejirahisisha,HUYO ATAKUWA MGONJWA NA ANATAKA AWAMALIZE FAMILIA NZIMA,toka nduki,we kimbiaaaaaaa
 
nimekuja kumtembelea brother angu kwake hapa mara moja, huyu ndugu yangu ni player sana, alioa but ndoa haikudumu, so ana wanawake kila kona hapa mwanza, sasa nina siku sita tangu nifike hapa but juz kalikuja demu wake mnyarwanda ni mzuri kweli, jamaa akaniambia nimpe kampan demu wake ye anapoenda kazini, so nimekaa nae siku ya kwanza, story nyingi sana, akafurahi kuwa jiran yang boss alipotoka job akabeba mzigo wake, na siku ya pili ni hivo ivo, so siku ya tatu alipokuwa anaondoka kurudi kwao akaniomba namba ya simu, nikachukulia ni shemeji nikampa, duh leo nimechat nae siku nzima akanitamkia hajaondoka kaenda kwa rafiki ake anarudi kwa ajiri yangu ijumaa, kwa siri nitamkuta lodge flani...kanambia she is madly in love with me ila bro asijue ataondoka jpili baada ya kumalizana na mimi...sijawai ambiwa hivi na mwanamke tangu nizaliwe nilishtuka sana...nafikilia cha kufanya sipat jibu, help please

ucjaribu kuchovya,be gentleman, tell her no and mean it no
 
nimekuja kumtembelea brother angu kwake hapa mara moja, huyu ndugu yangu ni player sana, alioa but ndoa haikudumu, so ana wanawake kila kona hapa mwanza, sasa nina siku sita tangu nifike hapa but juz kalikuja demu wake mnyarwanda ni mzuri kweli, jamaa akaniambia nimpe kampan demu wake ye anapoenda kazini, so nimekaa nae siku ya kwanza, story nyingi sana, akafurahi kuwa jiran yang boss alipotoka job akabeba mzigo wake, na siku ya pili ni hivo ivo, so siku ya tatu alipokuwa anaondoka kurudi kwao akaniomba namba ya simu, nikachukulia ni shemeji nikampa, duh leo nimechat nae siku nzima akanitamkia hajaondoka kaenda kwa rafiki ake anarudi kwa ajiri yangu ijumaa, kwa siri nitamkuta lodge flani...kanambia she is madly in love with me ila bro asijue ataondoka jpili baada ya kumalizana na mimi...sijawai ambiwa hivi na mwanamke tangu nizaliwe nilishtuka sana...nafikilia cha kufanya sipat jibu, help please

Permission granted, just proceed.
 
Thread nyingine bwana!!!! Mhh

Naona ukishamla huyu dada utakuja kuanzisha thread hapa utaambie jinsi ulivyomkuta. Kha! Jaribu kutumia akili yako japo kidogo basiiii..

Acha tamaa ndugu......
 
Kwa mwanaume halikua swali hili, kama demu kafikia viwango vya ubora we piga hayo mambo ya demu wa kaka sijui futilia mbali na akizidi kujileta endelea kupiga tu, likitokea lakutokea litakua limetokea ila we ain't praying for that to happen.
Best of luck man.
 
nimekuja kumtembelea brother angu kwake hapa mara moja, huyu ndugu yangu ni player sana, alioa but ndoa haikudumu, so ana wanawake kila kona hapa mwanza, sasa nina siku sita tangu nifike hapa but juz kalikuja demu wake mnyarwanda ni mzuri kweli, jamaa akaniambia nimpe kampan demu wake ye anapoenda kazini, so nimekaa nae siku ya kwanza, story nyingi sana, akafurahi kuwa jiran yang boss alipotoka job akabeba mzigo wake, na siku ya pili ni hivo ivo, so siku ya tatu alipokuwa anaondoka kurudi kwao akaniomba namba ya simu, nikachukulia ni shemeji nikampa, duh leo nimechat nae siku nzima akanitamkia hajaondoka kaenda kwa rafiki ake anarudi kwa ajiri yangu ijumaa, kwa siri nitamkuta lodge flani...kanambia she is madly in love with me ila bro asijue ataondoka jpili baada ya kumalizana na mimi...sijawai ambiwa hivi na mwanamke tangu nizaliwe nilishtuka sana...nafikilia cha kufanya sipat jibu, help please
:A S thumbs_down::A S thumbs_down:
Be consinstency in story telling, is your brother = jamaa = boss, or they are three different people?
:clap2::clap2::clap2:
 
  • Thanks
Reactions: LD
"TULIZANA...vunja mtandao" ujumbe huu unaletwa kwenu kwa hisani ya wizara ya afya na TACAIDS.
 
Thread nyingine bwana!!!! Mhh

Naona ukishamla huyu dada utakuja kuanzisha thread hapa utaambie jinsi ulivyomkuta. Kha! Jaribu kutumia akili yako japo kidogo basiiii..

Acha tamaa ndugu......

Bibie Uda'a ufafanuzi tafadhali hapo kwen bold....kwani jamaa ni cannibal?
 
Last edited by a moderator:
nimekuja kumtembelea brother angu kwake hapa mara moja, huyu ndugu yangu ni player sana, alioa but ndoa haikudumu, so ana wanawake kila kona hapa mwanza, sasa nina siku sita tangu nifike hapa but juz kalikuja demu wake mnyarwanda ni mzuri kweli, jamaa akaniambia nimpe kampan demu wake ye anapoenda kazini, so nimekaa nae siku ya kwanza, story nyingi sana, akafurahi kuwa jiran yang boss alipotoka job akabeba mzigo wake, na siku ya pili ni hivo ivo, so siku ya tatu alipokuwa anaondoka kurudi kwao akaniomba namba ya simu, nikachukulia ni shemeji nikampa, duh leo nimechat nae siku nzima akanitamkia hajaondoka kaenda kwa rafiki ake anarudi kwa ajiri yangu ijumaa, kwa siri nitamkuta lodge flani...kanambia she is madly in love with me ila bro asijue ataondoka jpili baada ya kumalizana na mimi...sijawai ambiwa hivi na mwanamke tangu nizaliwe nilishtuka sana...nafikilia cha kufanya sipat jibu, help please

1 - Joining Date yako inaonesha bado ni mwanafunzi na unahisi JF ni kama facebook (kwamba mtu anaongea what's in his/her mind)...tumia mtandao huu kujifunza yanayojenga na endelevu kwa kuomba ushauri ama kuwashauri wengine.
2 - chuma hufua chuma...kama huyo kaka yako ni player, basi hata huyo shemeji yako ni player ndo maana kwake haoni hatari kukutokea na kutaka kukupa mzigo. Na kwa mtindo huo usipokuwa makini utajikuta na wewe unafuata nyayo za kaka. Na nahisi si wewe tu peke yako anayetaka kukupa, hata marafiki za kaka yako inawezekana wameshapewa.. Shinda tamaa...UKIMWI BADO UPO NA UNAUA.
 
Hapa tunausemea moyo tu .Dogo anaonekana ameshaoza kwa shemeji.Uamuzi ni wako Siku zote vibaya ndio vinajitembeza !!
 
njiwa, usipite rudi. .

mkuu BT yoyo aliwasema chit chat kule kwa thread zao akashambuliwa hadi basi.. sasa inabidi maeneo mengine tupite tu bila kugugusa maada maana tukifunguka kwamba hii kitu ni Cr.Ap kuna wakuu watanimeza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom