kedrick
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 5,058
- 4,865
Uku kukiwa tetesi na vithibitisho kuwa msanii namba moja Afrika Mashariki Diamond Platinumz amekula tunda la mshindi wa Big Brother Africa 2013 Dillish Mathews uko Zanzibar.
Boss lady Zari Hassan uvumulivu ulimshinda na akamua kucomment middle page kwny 'gram ya Kifesi yenye picha ya baba wa watoto zake Diamond.
Zari hakuishia hapo na alihamia snapchat kuendelea kutoa madongo kwa style ya sizitaki mbichi izi.
Kwa upande wa Diamond bado hajasema chochote japo Dillish anaonekana gari lake la mapnz lishapata moto.
Boss lady Zari Hassan uvumulivu ulimshinda na akamua kucomment middle page kwny 'gram ya Kifesi yenye picha ya baba wa watoto zake Diamond.
Zari hakuishia hapo na alihamia snapchat kuendelea kutoa madongo kwa style ya sizitaki mbichi izi.
Kwa upande wa Diamond bado hajasema chochote japo Dillish anaonekana gari lake la mapnz lishapata moto.