Kijana Msomali
Member
- May 10, 2012
- 92
- 71
Morning People
Its Furahi Daaaaay!!!!!
Hivi Unazijua Shortest Days In The Week.....Hahahaha Kama Huzijua Worry Out I am Going To Tell You Fella....Ziko Siku Mbili Ndani Ya Wiki Ambazo Hypothetically ni Fupi Sana......Dont Think Too Much Baana...Siku Zenyewe Ni FRIDAY na SUNDAY...Jibu Unalo Mwenyewe...Usiniulize...Lolz
Well, Hiyo ilikuwa ni Brain Washing Tu...Now Let us Go Back To Our Topic....
Kama kuna demu mkali hapo mtaani,ofisini,nyumbani,njiani,kwa treni ama kwa basi amekukubalia baada ya kumpigia misele kwa sana jua ya kwamba WEWE NI NOMA NA UKO JUU....Haijalishi amekukubalia kwa
1.Pesa Zako
2.Kazi Yako
3.Elimu Yako
4.Gari Lako
5.Maneno yako ya Kimahaba - Romantic Words
6.Mvuto Wako
7.Urefu ama Ufupi Wako
It does not matter....jua ww ni noma...what matters ni kuwa mwisho wa siku unatiririka nae kuleeeeeeeeee!!!! Lolz
Moood Ya Friday......Lolz