Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,944
Aman iwe nanyi waungwana
Kuna manz mmoja fulan hivi ni dem wangu kama kwa mda wa week tatu hivi yaan tumedum kwenye uchumba kwa week tatu sasa lakin alichonifanyia sijakielewa kabisa aisee
Juz alikuja gheto kufua sasa wakati anafua mimi nikawa nimetoka kwenda kumununulia chai; kumbe wakat nimeenda kumunulia chai ndo mda ambao aliamua kunifanyia umafia wa kutosha alisach kila sehem had akakutana na kidinda changu cha laki tano na nusu kwenye hizo laki tano akachomoa kama laki moja na kumi then akakausha
Mimi nimetoka zangu kumununulia chai sina hili wala lile nikampa chai akanywa then nami nikamnywa yaan mikampiga machine then akaenda kwao
Sasa leo nahesabu mpunga wangu si nimekuta umepungua ndo nikaamua kumnyokea kwa phone
Kakubali kabisa kuwa ni kweli alichukua lakin et ni shetan tu alimpitia
Yaan had mda huu sielewi cha kufanya kabisa sijui kama huyu ni mtu mwema au ni nyoka kwangu
Nakuja kwenu waungwana mnishaul iv huyu dem atakuwa ananifaa kweli au ni joka?
London boy
Kuna manz mmoja fulan hivi ni dem wangu kama kwa mda wa week tatu hivi yaan tumedum kwenye uchumba kwa week tatu sasa lakin alichonifanyia sijakielewa kabisa aisee
Juz alikuja gheto kufua sasa wakati anafua mimi nikawa nimetoka kwenda kumununulia chai; kumbe wakat nimeenda kumunulia chai ndo mda ambao aliamua kunifanyia umafia wa kutosha alisach kila sehem had akakutana na kidinda changu cha laki tano na nusu kwenye hizo laki tano akachomoa kama laki moja na kumi then akakausha
Mimi nimetoka zangu kumununulia chai sina hili wala lile nikampa chai akanywa then nami nikamnywa yaan mikampiga machine then akaenda kwao
Sasa leo nahesabu mpunga wangu si nimekuta umepungua ndo nikaamua kumnyokea kwa phone
Kakubali kabisa kuwa ni kweli alichukua lakin et ni shetan tu alimpitia
Yaan had mda huu sielewi cha kufanya kabisa sijui kama huyu ni mtu mwema au ni nyoka kwangu
Nakuja kwenu waungwana mnishaul iv huyu dem atakuwa ananifaa kweli au ni joka?
London boy