muuza ubuyu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 3,511
- 3,477
don't waste ur time and energy bro! Achana naye, hao huwa ni Wale wanaopenda watu waliofanikiwa tayari na hawako tayari kuanza from the grass root! Umefanikiwa anakutaka, mambo yakikuharibikia anakupiga kibuti na kuanzisha mahusiano na wenye Nazo, hiyo ni mzigo! U have to be keen unapotafuta mwenza wako wa maisha, la sivyo itakula kwako! Na watu kama hao Sio kwamba huwa wanabadilika bali wanachange kuendana na upepo wa kiuchumi!
Soma haya na changanya na yako! Akili kumkichwa kaka!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Soma haya na changanya na yako! Akili kumkichwa kaka!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums