Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,397
- 8,880
Eti Rais wa nchi ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Siasa anaweza kuzuia Chama xyz kisipewe usajili - hii ni Demokrasia au ujinga?
Nchi ya Kidemokrasia mtu yoyote anaweza kuanzisha Chama chochote popote na muda wowote, angalia hata Kenya watu wanaanzisha Vyama kila uchwao sijawahi kusikia chama kikinyimwa usajili, lkn Tanzania kuanzisha Chama ni ishu, Rais aliyeko madarakani akiona hicho chama kinaweza kuwa tishio anakipinga kinanyimwa usajili.
Ulaya watu wanaanzisha mpaka vyama vya wanywa bia, kuna vyama vya wageni tu wahamiaji Ulaya kuna vyama vya Kanisa tu vyote poa tu.
Hapa Bongo Mbatia katimuliwa kwenye Chama chake na Polisi, kisa yuko mlengo tofauti na walamba asali na amekataa kulamba asali.
Nchi ya Kidemokrasia mtu yoyote anaweza kuanzisha Chama chochote popote na muda wowote, angalia hata Kenya watu wanaanzisha Vyama kila uchwao sijawahi kusikia chama kikinyimwa usajili, lkn Tanzania kuanzisha Chama ni ishu, Rais aliyeko madarakani akiona hicho chama kinaweza kuwa tishio anakipinga kinanyimwa usajili.
Ulaya watu wanaanzisha mpaka vyama vya wanywa bia, kuna vyama vya wageni tu wahamiaji Ulaya kuna vyama vya Kanisa tu vyote poa tu.
Hapa Bongo Mbatia katimuliwa kwenye Chama chake na Polisi, kisa yuko mlengo tofauti na walamba asali na amekataa kulamba asali.