Demokrasia ya Tanzania ni ya vichekesho sana!

Kijakazi

JF-Expert Member
Jun 26, 2007
6,397
8,880
Eti Rais wa nchi ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Siasa anaweza kuzuia Chama xyz kisipewe usajili - hii ni Demokrasia au ujinga?

Nchi ya Kidemokrasia mtu yoyote anaweza kuanzisha Chama chochote popote na muda wowote, angalia hata Kenya watu wanaanzisha Vyama kila uchwao sijawahi kusikia chama kikinyimwa usajili, lkn Tanzania kuanzisha Chama ni ishu, Rais aliyeko madarakani akiona hicho chama kinaweza kuwa tishio anakipinga kinanyimwa usajili.

Ulaya watu wanaanzisha mpaka vyama vya wanywa bia, kuna vyama vya wageni tu wahamiaji Ulaya kuna vyama vya Kanisa tu vyote poa tu.

Hapa Bongo Mbatia katimuliwa kwenye Chama chake na Polisi, kisa yuko mlengo tofauti na walamba asali na amekataa kulamba asali.
 
Serikali ina tuhuma nyingi sana dhidi yake yenyewe.

Lakinu kinakosekanika kitu kimoja nacho ni PROOF ya hayo matuhuma.

Tumbebeshe Rais tuhuma ambazo zina evidences zenye muelekeo wa kuaminisha na siyo mere accusations without facts
 
Demokrasia ipi unayozungumzia hapa? Unakumbuka marehemu Dr. Wilbert Kleruu (Mkuu wa Mkoa pekee hapa Tanzania kuondolewa duniani kwa mauaji - 1971)) aliandika kitabu kiitwacho Demokrasia ya Chama Kimoja?
 
Serikali ina tuhuma nyingi sana dhidi yake yenyewe.

Lakinu kinakosekanika kitu kimoja nacho ni PROOF ya hayo matuhuma.

Tumbebeshe Rais tuhuma ambazo zina evidences zenye muelekeo wa kuaminisha na siyo mere accusations without facts
Kwahiyo tunamsingizia rais kuwa alizuia mikutano ya vyama vya upinzani! Katiba ndiyo inayotakiwa kuruhusu au kuzuia mikutano ya vyama vya siasa na si rais ambaye naye ni mwenyekiti wa chama kisichozuilika na zuio la mikutano ya vyama vya siasa! Hebu weka vizuri dishi la ubongo wako.
 
Serikali ina tuhuma nyingi sana dhidi yake yenyewe.

Lakinu kinakosekanika kitu kimoja nacho ni PROOF ya hayo matuhuma.

Tumbebeshe Rais tuhuma ambazo zina evidences zenye muelekeo wa kuaminisha na siyo mere accusations without facts
Kama kikitokea chama kimenyimwa usajili je hiyo itakuwa ni evidence au mpaka iweje. ??!
 
Barbarossa bana, kipindi Magufuli akifanya ugaidi wake dhidi ya wapinzani na kufikia hadi kuwapiga wengine risasi mchana kweupe mlikuwa wapi kuzungumzia hii demokrasia? Nyie si ndio mlikuwa mkijipiga vifua ?

Au demokrasia inafaa tu kipindi cha kutetea itikadi zenu?
 
Barbarossa bana, kipindi Magufuli akifanya ugaidi wake dhidi ya wapinzani na kufikia hadi kuwapiga wengine risasi mchana kweupe mlikuwa wapi kuzungumzia hii demokrasia? Nyie si ndio mlikuwa mkijipiga vifua ?

Au demokrasia inafaa tu kipindi cha kutetea itikadi zenu?
Mabaya ya yule mwendazake hayatakiwi kuendelea ndio maana watu wanauliza mbona bado yanaendelea !!
 
Kwahiyo tunamsingizia rais kuwa alizuia mikutano ya vyama vya upinzani! Katiba ndiyo inayotakiwa kuruhusu au kuzuia mikutano ya vyama vya siasa na si rais ambaye naye ni mwenyekiti wa chama kisichozuilika na zuio la mikutano ya vyama vya siasa! Hebu weka vizuri dishi la ubongo wako.
Hilo la kuzuia mikutano ya kisiasa ushahidi upo dhahiri.

Lakini la kuzuia usajili wa chama ni planted
 
Eti Rais wa nchi ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Siasa anaweza kuzuia Chama xyz kisipewe usajili hii ni Demokrasia au ujinga? Nchi ya Kidemokrasia mtu yoyote anaweza kuanzisha Chama chochote popote na muda wowote, angalia hata Kenya watu wanaanzisha Vyama kila uchwao sijawahi kusikia chama kikinyimwa usajili, lkn Tanzania kuanzisha Chama ni ishu, Rais aliyeko madarakani akiona hicho chama kinaweza kuwa tishio anakipinga kinanyimwa usajili.

Ulaya watu wanaanzisha mpaka vyama vya wanywa bia, kuna vyama vya wageni tu wahamiaji Ulaya kuna vyama vya Kanisa tu vyote poa tu.

Hapa Bongo Mbatia katimuliwa kwenye Chama chake na Polisi, kisa yuko mlengo tofauti na walamba asali na amekataa kulamba asali, …
Mbatia kosa lake ni kukataa "MOU" na pia kukataa kumuita Samia "Mama" badala yake yeye anamuita"Dada" hapa Tanzania hakuna Demokradia bali "Tumbocrasia"
 
Mbatia kosa lake ni kukataa "MOU" na pia kukataa kumuita Samia "Mama" badala yake yeye anamuita"Dada" hapa Tanzania hakuna Demokradia bali "Tumbocrasia"

Usisahau Spika wa Bunge ambaye kosa lake siajabu lilikuwa ni kuhoji tu!
 
Eti Rais wa nchi ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Siasa anaweza kuzuia Chama xyz kisipewe usajili hii ni Demokrasia au ujinga? Nchi ya Kidemokrasia mtu yoyote anaweza kuanzisha Chama chochote popote na muda wowote, angalia hata Kenya watu wanaanzisha Vyama kila uchwao sijawahi kusikia chama kikinyimwa usajili, lkn Tanzania kuanzisha Chama ni ishu, Rais aliyeko madarakani akiona hicho chama kinaweza kuwa tishio anakipinga kinanyimwa usajili.

Ulaya watu wanaanzisha mpaka vyama vya wanywa bia, kuna vyama vya wageni tu wahamiaji Ulaya kuna vyama vya Kanisa tu vyote poa tu.

Hapa Bongo Mbatia katimuliwa kwenye Chama chake na Polisi, kisa yuko mlengo tofauti na walamba asali na amekataa kulamba asali, …
Duh...!. Watanzania tunapenda sana kulalamika na karibu kila kitu tunamlalamikia rais!.

Usajili wa vyama ni kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni, rais wa nchi hakusiki kwa namna yoyote na issues zozote za usajili wa vyama zaidi ya kuwateua watendaji.

Chama chochote kikikidhi vigezo, na kutimiza masharti, kinasajiliwa!, na chama chochote kitakacho nyimwa usajili, kinaelezwa kwa maandishi, Madam Presidaa has nothing to do with usajili wa vyama.
P
 
Back
Top Bottom