Demokrasia ni rahisi kuiimba lakini ni ngumu kuishi

IFRS

JF-Expert Member
Dec 19, 2014
2,904
5,168
Bernard Membe ameitwa kwa barua kwenye kamati ya Maadili ya Chama cha Mapinduzi, amesomewa mashtaka/tuhuma zake, akapewa nafasi ya kujitetea na mwisho tuhuma na utetezi ukawasilishwa kwenye vikao vya chama na mwisho kamati kuu ikapitia utetezi wake na mwisho ikatoa hukumu ya kumfuta uanachama.

Ila kuna chama kingine tuhuma zimetolewa, mtuhumiwa hakuitwa kuja kujitetea na hukumu ikatolewa ya kufutwa uanachama.

Halafu hawa wanamwita Rais Magufuli dicteta ila Mbowe ni mwanademocrasia
 
  • Thanks
Reactions: RMC
Kwa hiyo kwa vile katiba ya ccm ina kipengele cha kumuita mtu unassume na ya chadema ina kipengele hicho!!
 
Ila kuna chama kingine tuhuma zimetolewa, mtuhumiwa hakuitwa kuja kujitetea na hukumu ikatolewa ya kufutwa uanachama.
Hao wapo NCCR Mageuzi muda mrefu tu na hata Mbatia alishawatangaza kugombea ubunge. Halafu ishu ya kuhudhuria bungeni, si inaonekana hadharani? Utajitetea kwamba haukuwa wewe?
 
Bernard Membe ameitwa kwa barua kwenye kamati ya Maadili ya Chama cha Mapinduzi, amesomewa mashtaka/tuhuma zake, akapewa nafasi ya kujitetea na mwisho tuhuma na utetezi ukawasilishwa kwenye vikao vya chama na mwisho kamati kuu ikapitia utetezi wake na mwisho ikatoa hukumu ya kumfuta uanachama.
Ila kuna chama kingine tuhuma zimetolewa, mtuhumiwa hakuitwa kuja kujitetea na hukumu ikatolewa ya kufutwa uanachama.
Halafu hawa wanamwita Rais Magufuli dicteta ila Mbowe ni mwanademocrasia

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu anayetukana chama, anatukana viongozi..unamwita kumhoji wa nini..?
Mtu kashadharau maamuzi ya chama kwa kukosoa tena hadharani huku akijua kanuni na katiba ya chama zinazuia...kama ana dukuduku zipo njia za kufikia malalamiko yake.

Membe hajawahi kuitukana CCM; hawawahi kumshambulia Mwenyekiti wake kwa press hovyo hovyo...

Huyu kijana CDM imemfikisha hapo alipo basi kashajiona staa...ataporomoka atashangaa..CCM si pahala salama...anajidanganya !!
 
The right to be heard... hata awe mjinga vipi hiyo haki ya msingi kama sio chama cha drug dealers.
Mtu anayetukana chama, anatukana viongozi..unamwita kumhoji wa nini..?
Mtu kashadharau maamuzi ya chama kwa kukosoa tena hadharani huku akijua kanuni na katiba ya chama zinazuia...kama ana dukuduku zipo njia za kufikia malalamiko yake.

Membe hajawahi kuitukana CCM; hawawahi kumshambulia Mwenyekiti wake kwa press hovyo hovyo...

Huyu kijana CDM imemfikisha hapo alipo basi kashajiona staa...ataporomoka atashangaa..CCM si pahala salama...anajidanganya !!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom