Demokrasia na tume huru ina raha yake. ANC na EFF patachimbika 8/5/2019

DA ni pandikizi la wazi la makaburu kwa ajili ya kuwagawa Waafrika Kusini. Malema aliliona hilo mapema. Ni sawa na UKAWA huko kujiunga na Lipumba sasa huoni kama ni u K?
Wewe una mawazo mgando ya kikalekale sana. Hakuna cha kugawa watu hapo. Ni chama cha siasa kilichopo kwa mujibu wa sheria za Africa ya kusini. Na hata hao makaburu ni watu na ni raia wa Africa kusini. Sasa kuna dhambi gani na wao wakipitia mchakato halali kupata uwakilishi katika chombo cha maamuzi?
 
Hapa kwetu tuliwahi sana kupata uhuru, ilitakiwa mkoloni aondoke mwaka 1990, ndio tungekuwa na akili timamu, hii dhana ya kuwa ALIKWENDA KWA MALKIA AKADAI UHURU AKAPEWA, imetuharibu sana fikra, tunashubiri kudai na kupewa tukiwa uvunguni tumejificha..#BRINGBACKMDUDE..
Dah you made my day
 
EFF ni chama hakina muda mrefu ila wanachama wanaongezeka kwa kasi ya ajabu
Kiongozi wake ni nani?Hivi wale wa Zungu wa Afrika ya kusini huwa wana vyama,nadra sana kuwaona kwenye mikutano ya kisiasa kama ilivyo kwenye timu za mpira wa miguu.Mungu ibariki Afrika
 
Sasa wewe kiburu unayesoma tu historia ya makaburu bila uharisia wowote unafahamu nini kuhusu SA? Kuna majiji kupewa eneo la kujenga makazi hadi uwe na asili yao au unajulikana Serikalini achilia mbali arshi wanayoshikilia. Acha ulimbukeni.
Wewe una mawazo mgando ya kikalekale sana. Hakuna cha kugawa watu hapo. Ni chama cha siasa kilichopo kwa mujibu wa sheria za Africa ya kusini. Na hata hao makaburu ni watu na ni raia wa Africa kusini. Sasa kuna dhambi gani na wao wakipitia mchakato halali kupata uwakilishi katika chombo cha maamuzi?
 
Matokeo ya uchaguzi mpaka sasa bado??
ANC 58%
DA 21%
EFF 11%

Bunge lina watu 400..... Hivyo kila chama kitachukua viti kulingana na % walizopata. Huko ndio watachagua Rais ambaye kwa hesabu hizi lazima atakuwa kiongozi wa ANC Cyril Ramaphosa.

NB: kura za DA na ANC zimeshuka kwa kasi sana kulinganisha na uchaguzi uliopita ila chama kilichokuwa kwa kasi ni EFF maana kimepata kura mara mbili zaidi ya ilizopata 2014.

Hongera kwao.
 
Sasa wewe kiburu unayesoma tu historia ya makaburu bila uharisia wowote unafahamu nini kuhusu SA? Kuna majiji kupewa eneo la kujenga makazi hadi uwe na asili yao au unajulikana Serikalini achilia mbali arshi wanayoshikilia. Acha ulimbukeni.
Bado unadhihirisha ulivyo na mawazo mgando. Hao makaburu ni raia wa Africa kusini and they are there to stay. Tuondolee fikra za Kipanafricanism zilizoshindwa katika karne kadhaa zilizopita. Watu kama ninyi ndio wale wanaokariri historia bila kuiweka katika muktadha na wakati husika. Wazimbabwe walikuwa na mawazo kama yako wako wapi leo? Mbona wanawatafuta wazungu warudi tena kwa kuwafidia hasara na kuwarudishia mashamba yao?
 
Wazungu wengi wanaunga mkono chama cha DA
Kiongozi wake ni nani?Hivi wale wa Zungu wa Afrika ya kusini huwa wana vyama,nadra sana kuwaona kwenye mikutano ya kisiasa kama ilivyo kwenye timu za mpira wa miguu.Mungu ibariki Afrika
 
Wtf with u buddy!! Tulia na endelea na ujinga wako. Kama umeolewa na mzungu endelea kuchezea rungu eti fikra za kipaniafricanism!!! Hivi Magu asingekuwa na mtazamo chanya hiyo migodi mikubwa kama Bulyanhulu si angewaachia hao mabwana zako Wazungu waendelee kuiba. Shenzy usiniharibie weekend
Bado unadhihirisha ulivyo na mawazo mgando bado. Hao makaburu ni raia wa Africa kusini and they are there to stay. Tuondolee fikra za Kipanafricanism zilizoshindwa katika karne kadhaa zilizopita. Watu kama ninyi ndio wale wanaokariri historia bila kuiweka katika muktadha na wakati husika. Wazimbabwe walikuwa na mawazo kama yako wako wapi leo? Mbona wanawatafuta wazungu warudi tena kwa kuwafidia hasara na kuwarudishia mashamba yao?
 
Waliokatwa kidomo domo ni ANC mana idadi ya Wabunge itapungua ukilinganisha na mwaka 2014 na idadi ya Wabunge toka EFF inaongezeka ukilinganisha na 2014 kwa mukutada huo nani amekatwa kidomodomo.
Utachoka tu kuelimisha watu kama hao ndugu. Chama kimeanza kama kijiwe tu lkn kinazidi kukua huku kikiinyang'anya ANC wanachama wake kila siku. Uchaguzi huu kimepata mara mbili ya ushindi wa 2014
 
Kwa chama cha Malema kushindwa sio tatizo maana hakina hata miaka nane lakini kila chaguzi wanaongeza wabunge mwaka 2014 walipata asilimia 6% lakini mwaka Huu ni asilimia 16% si haba.
 
Kwa chama cha Malema kushindwa sio tatizo maana hakina hata miaka nane lakini kila chaguzi wanaongeza wabunge mwaka 2014 walipata asilimia 6% lakini mwaka Huu ni asilimia 16% si haba.
Asante mkuu kwa kuwapa darasa maana hakuna watu brain washed kama baadhi ya Wtz. Mpumalanga ilikuwa chini ya DA lkn uchaguzi huu masela wameichukua
 
ANC hawajawahi pata chini ya asilimia 60% lakini uchaguzi huu wanaweza pata asilimia hamsini na DA asilimia walizo pata hazina tofauti sana na asilimia walizo pata 2014 kwa maana hiyo asilimia walizo Chukua EFF ndizo zilizo chotwa kwa Anc Guetang Anc wamepolomoka nako EFF inakuja vizuri sana kushindana na chama kama ANC sio utani mkuu.
Asante mkuu kwa kuwapa darasa maana hakuna watu brain washed kama baadhi ya Wtz. Mpumalanga ilikuwa chini ya DA lkn uchaguzi huu masela wameichukua
 
ANC hawajawahi pata chini ya asilimia 60% lakini uchaguzi huu wanaweza pata asilimia hamsini na DA asilimia walizo pata hazina tofauti sana na asilimia walizo pata 2014 kwa maana hiyo asilimia walizo Chukua EFF ndizo zilizo chotwa kwa Anc Guetang Anc wamepolomoka nako EFF inakuja vizuri sana kushindana na chama kama ANC sio utani mkuu.
ANC SA ni kama dini,ni chama ambacho watu wanakichukulia kama symbol ya Mandela hivyo kazi aliyiifanya Malema sio kidogo
 
Wtf with u buddy!! Tulia na endelea na ujinga wako. Kama umeolewa na mzungu endelea kuchezea rungu eti fikra za kipaniafricanism!!! Hivi Magu asingekuwa na mtazamo chanya hiyo migodi mikubwa kama Bulyanhulu si angewaachia hao mabwana zako Wazungu waendelee kuiba. Shenzy usiniharibie weekend
Matusi hayaondoi ukweli kwamba wewe upeo wako bado ni finyu. Una mawazo ya kiujimaujima hivi. Hivyo hatuwezi kuendana. Dunia inasonga mbele, wewe rudi kakumbatie notes za panafricanims tuone utafika wapi.
 
Back
Top Bottom