We unaleta hoja mfu. Ungekaa kimya.Kuna wakati hoja za JF zinakuwa za kijinga kwa kuwa mnakimbilia hisia zenu badala ya kujadil mada. Nani kakuibia kula. Hata Trump kasema kaibiwa. Wengine wanadai Urusi kaingilia. Haya hayatusaidii. JF ilitakiwa sehemu ya kujadili na kuwa na mawazo mapya.
Wote mnaongelea Demokrasia na maendeleo. Taja hapa nchi Zote zilizoendelea kwa sababu ya Demokrasia. Zipi. Hakuna.
Baada ya maendeleo ndo mambo ya Siasa yakachukua mkondo na ustaarabu. Na hata Demokrasia unayozungumzia haina one Definition na nahisi nyinyi Demokrasia Ni kufanya mambo tu Kadiri mnavyoamka. Kwa nchi ya Tansania, mikutano na ujinga ujinga baada ya uchaguzi ndo mambo yanayotufanya Tuwe chini kabisa. Nchi hizi zilizoendelea. Watu wanaendelea na majukumu Yao. Na Hata Siasa haziwahusu. Wanasiasa wanaendelea na Yao. Sisi tunaacha kazi tunasingizia Demokrasia.
Kama kwa mawazo yako uchaguzi wa mwaka jana ulikuwa wa huru na haki na hakuna kura zimeibiwa basi hatutaweza kuelewana. Imefika wakati wa kuwaacha watu wamebishane na wenzao wanaopenda ligi za mabishano yasiyo na tija mimi sina muda huo. Siku ukiaamka ndugu yangu tutakutana kwenye hoja lakini endelea kulala!. Uelewa wa vijana wetu siku hizi unatisha kwa uduni kuliko hata udikteta. Hawa ndiyo viongozi wetu wajao ambao tutawapa nchi waendeshe wakati wanajidanganya mpaka nafsi.