Huu ni UPUUZI, Watanzania tuko Million 45.
Waliojiandikisha kupiga kura eti ni Million 19
Waliopiga kura ni Million 8
Walio mchagua rais ni million 5
swali, Je Million 11 kwanini hawakupiga kura?
Utaratibu huu ni mbovu inabidi ufanyiwe marekebisho, hii ni kasoro kubwa sana kama tunataka kujenga demokrasia ya kweli. Wala nchi wanasema ni ushindi wa kishindo!!!!!!
Unachaguliwa na watu Million 5 ili uongoze watu million 45??!!
Waliojiandikisha kupiga kura eti ni Million 19
Waliopiga kura ni Million 8
Walio mchagua rais ni million 5
swali, Je Million 11 kwanini hawakupiga kura?
Utaratibu huu ni mbovu inabidi ufanyiwe marekebisho, hii ni kasoro kubwa sana kama tunataka kujenga demokrasia ya kweli. Wala nchi wanasema ni ushindi wa kishindo!!!!!!
Unachaguliwa na watu Million 5 ili uongoze watu million 45??!!