JOYOPAPASI
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 250
- 408
FUNGO DEMOCRACY!
Zitto ni mmoja wa watu wanaodai Tanzania hakuna demokrasia. Huwa anaenda BBC, DW na VOA kutangaza huu uzushi wake. Mtu ungedhania ndani ya chama chake kuna demokrasia! Toba! Sikiliza hii:
Mtu mmoja tu tena mgeni ndiye kapewa form ya kugombea uraisi. Bora CCM ni mmoja lakini ndiye raisi na Mkiti wao! Hata mpirani humtoi Messi au Ronaldo kisa kila mchezaji apate kucheza!
Kama hiyo haitoshi mgombea wa ACT kajaza form na kajidhamini mwenyewe! Karudisha form haina wadhamini!
Hakuna kutafuta wadhamini.
Wakikutaka sawa wasipokutaka shauri yao!
Hii ndiyo FUNGO DEMOCRACY!
Ndio chama kinajinasibu kina demokrasia na eti nchi haina!
ACT WASALITI demokrasia?
Zitto ni mmoja wa watu wanaodai Tanzania hakuna demokrasia. Huwa anaenda BBC, DW na VOA kutangaza huu uzushi wake. Mtu ungedhania ndani ya chama chake kuna demokrasia! Toba! Sikiliza hii:
Mtu mmoja tu tena mgeni ndiye kapewa form ya kugombea uraisi. Bora CCM ni mmoja lakini ndiye raisi na Mkiti wao! Hata mpirani humtoi Messi au Ronaldo kisa kila mchezaji apate kucheza!
Kama hiyo haitoshi mgombea wa ACT kajaza form na kajidhamini mwenyewe! Karudisha form haina wadhamini!
Hakuna kutafuta wadhamini.
Wakikutaka sawa wasipokutaka shauri yao!
Hii ndiyo FUNGO DEMOCRACY!
Ndio chama kinajinasibu kina demokrasia na eti nchi haina!
ACT WASALITI demokrasia?