Malata Junior
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 3,102
- 2,538
Kwa muda mrefu Chama cha Mapinduzi kimeendeleza utamaduni wake wa kuminya demokrasia ndani ya chama hicho kwa kuwanyima wanachama wake wanaotaka kugombea nafasi ya mwenyekiti wa chama Taifa na kulazimisha Rais aliyeko madarakani agombee nafasi hiyo kwa kupambana na 'kivuli'.
Mbaya zaidi wakati wa kuhesabu kura 'kivuli' hakina wakala wa kusimamia kura zake na kusababisha mawakala wa Rais kubadilisha kura za hapana kuwa za ndiyo hivyo Rais kupata 'ushindi'wa asilimia 100.
Ni lini CCM itaachana utamaduni huu wa kizamani na wa hovyo sana ili kulinda demokrasia ndani ya chama hicho?
Mbaya zaidi wakati wa kuhesabu kura 'kivuli' hakina wakala wa kusimamia kura zake na kusababisha mawakala wa Rais kubadilisha kura za hapana kuwa za ndiyo hivyo Rais kupata 'ushindi'wa asilimia 100.
Ni lini CCM itaachana utamaduni huu wa kizamani na wa hovyo sana ili kulinda demokrasia ndani ya chama hicho?