Demokrasia: CCM itaacha lini utamaduni wa Rais kuwa Mwenyekiti wa Chama?

Malata Junior

JF-Expert Member
Nov 29, 2011
3,102
2,538
Kwa muda mrefu Chama cha Mapinduzi kimeendeleza utamaduni wake wa kuminya demokrasia ndani ya chama hicho kwa kuwanyima wanachama wake wanaotaka kugombea nafasi ya mwenyekiti wa chama Taifa na kulazimisha Rais aliyeko madarakani agombee nafasi hiyo kwa kupambana na 'kivuli'.

Mbaya zaidi wakati wa kuhesabu kura 'kivuli' hakina wakala wa kusimamia kura zake na kusababisha mawakala wa Rais kubadilisha kura za hapana kuwa za ndiyo hivyo Rais kupata 'ushindi'wa asilimia 100.

Ni lini CCM itaachana utamaduni huu wa kizamani na wa hovyo sana ili kulinda demokrasia ndani ya chama hicho?
 
Kwa muda mrefu Chama cha Mapinduzi kimeendeleza utamaduni wake wa kuminya demokrasia ndani ya chama hicho kwa kuwanyima wanachama wake wanaotaka kugombea nafasi ya mwenyekiti wa chama Taifa na kulazimisha Rais aliyeko madarakani agombee nafasi hiyo kwa kupambana na 'kivuli'.Mbaya zaidi wakati wa kuhesabu kura 'kivuli' hakina wakala wa kusimamia kura zake na kusababisha mawakala wa Rais kubadilisha kura za hapana kuwa za ndiyo hivyo Rais kupata 'ushindi'wa asilimia 100! Ni lini CCM itaachana utamaduni huu wa kizamani na wa hovyo sana ili kulinda demokrasia ndani ya chama hicho?
Kwani katiba ya CCM inasemaje juu ya uenyekiti?
 
Kwa muda mrefu Chama cha Mapinduzi kimeendeleza utamaduni wake wa kuminya demokrasia ndani ya chama hicho kwa kuwanyima wanachama wake wanaotaka kugombea nafasi ya mwenyekiti wa chama Taifa na kulazimisha Rais aliyeko madarakani agombee nafasi hiyo kwa kupambana na 'kivuli'.

Mbaya zaidi wakati wa kuhesabu kura 'kivuli' hakina wakala wa kusimamia kura zake na kusababisha mawakala wa Rais kubadilisha kura za hapana kuwa za ndiyo hivyo Rais kupata 'ushindi'wa asilimia 100.

Ni lini CCM itaachana utamaduni huu wa kizamani na wa hovyo sana ili kulinda demokrasia ndani ya chama hicho?
nitachagua kupata UHURU,HAKI NA MAENDELEO YA WATU kupitia CHADEMA.
Vipi huko kwenu, Mbowe apewe 20 mingine!
 
Je ni lini muheshimiwa mbowe atakoma uenyekiti wa Chadema?muhimiwa namuomba Mnyika niongozane naye ili anieleweshe zaidi naomba swala. Langu liingizwe kwenye ansadiii...asante muhishimiwa Mkuu..kama Bungen vile natania tu...sina chama mie,...Nakuchagua kutokana na kazi yako tu.
 
Back
Top Bottom