Demokrasia Afrika ni Kitendawili

Bowie

JF-Expert Member
Sep 17, 2016
4,372
6,078
Baada ya miaka mingi ya mapinduzi ya kijeshi kutokufanyika Africa kwasasa wimbi la utawala wa kijeshi na mapinduzi yanarudi kwa kasi Afrika.

Tumeona nchi za Mali, Guinea na Sudan wanajeshi wakitwaa madaraka kutoka utawala wa kiraia.

Huko Ethiopia utawala wa Waziri Mkuu Abey ukielekea kuanguka baada ya waasi wa Tigrey kukalibia kuteka mji mkuu Addis Ababa. Matukio ya aina hii tulizoea kuona miaka ya 60s 70s 80s 90s.

Je hii ni dalili ya utawala wa kiraia na Kidemokrasia kutoweka Africa.
 
SIASA ZA AFRIKA NI MAPAMBANO YA MZURI YA MBAYA KWENYE JAMII SIO KAZI


New Microsoft Word Document (3)-1.jpg
 
Baada ya miaka mingi ya mapinduzi ya kijeshi kutokufanyika Africa kwasasa wimbi la utawala wa kijeshi na mapinduzi yanarudi kwa kasi Africa. Tumeona nchi za Mali, Guinea na Sudan wanajeshi wakitwaa madaraka kutoka utawala wa kiraia. Huko Ethiopia utawala wa Waziri Mkuu Abey ukielekea kuanguka baada ya waasi wa Tigrey kukalibia kuteka mji mkuu Addis Ababa. Matukio ya aina hii tulizoea kuona miaka ya 60s 70s 80s 90s.
Je hii ni dalili ya utawala wa kiraia na Kidemokrasia kutoweka Africa.
Hiyo inatokea kwa sababu watawala waliopo madarakani wameshindwa kuilinda demokrasia.

Wanawagandamiza viongozi wa upinzani au wale wanao wakosoa.

Watawala wa kiraia wamekuwa ndio wasimamizi wa ufisadi na kuhujumu mali za taifa huku wananchi wakiendelea kukamuliwa jasho na damu.

Kwa sasani muhimu wanajeshi kuchukua madaraka kutoka kwa watawala warafi wa kutawala.
 
Kuna mengi nyuma ya pazia, kikubwa ni kujua source na namna ya elimination
 
Back
Top Bottom