Demiss amepotelea wapi?

Kuna members kibao cwaoni ila kitaa nawaona tuu! Wanaishia kulalama JF kunawaganga njaa Sana. Na Kuna members 13 wamepitiwa na upepo wa Corona Kama mods watakubali niposti picha zao na id zao.
 
Kuna members kibao cwaoni ila kitaa nawaona tuu! Wanaishia kulalama JF kunawaganga njaa Sana. Na Kuna members 13 wamepitiwa na upepo wa Corona Kama mods watakubali niposti picha zao na id zao.
We post tu hakuna shida,ni vyema kujua ndugu zetu wangapi hatuko nao.
Covid sio mchezo kwa kweli
 
Ndo mtajua ,hamjui !!!


Huyu kamwaga kama Lita tatu , hapa nilipo naenda kununua RL nimuanzishie Dozi ...

Yuko dehydrated kinyama, na kwa maji alomwaga, anaweza kupata Acute tubular necrosis



Mnasikiaga Squirms ?? Ndo hzi sasa !!

Ananiulizaje , Umeyatoa Wapi ??

Noelia


View attachment 2021339
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana
 
Wow! It's been a long time saana tangu tupotezane guys.

Sijapata PM yako Dina, But nimeifurahi kukuona tena hapa.

Nna mengi ya kushare na wewe. Ngoja nikarefresh PM yangu tena.
Nafurahi kukuona hapa umetutelekeza jamani
Jamen nashindwa eti kukutumia pm ngoja nikaangalie ya zamani nikutumie
Umefunga pm fungua bana
 
Back
Top Bottom