Habari zenu wana jf. Niliwahi kukumbwa na tatizo la kuumwa kiuno nikiwa mdogo nikawa sikai chin wala kusimama yan ni kulala tu 24hrs ndipo nilipochanjwa chale kuzunguka kiuno kizima. Sasa kuna mtoto hapa kitaani kwetu baada ya kumfatilia kwa muda mrefu na kumhonga honga viela vya chai chai. Kama zali juz juz hapa kanikubalia tukapanga promise. Pind tuko geto kitandani nipo kifua waz kwenye kipensi/boxer huku nikianzisha kauchokozi nikiwa na ham nae kweli yeye dem kaduwaa tuu katulia kimyaa huku akikodolea macho kiunoni mwangu.Mara gafla akavaa sketi yake, ikabidi niulize "Tatizo nini mpenz wangu" akaniambia tatizo umenichanjia chale unataka unigegede mpaka unikomeshe??. nikamuhadisia tatizo lote na Nikambembeleza sana akakataa, mzee wa kazi "lombo'' tayar ashasimama ikabid nitumie nguvu. heee!! akafanikiwa kunichomoka c ndo akakimbia mbio kali sana tena peku huku kashikilia sket yake. wala hata sikuamin macho yangu. nikawa nimekosa mzigo. JAMANI WANA jf NISAIDIENI NAMNA YA KUFUTA CHALE MWILINI.