Kumbukumbuyatorati
Senior Member
- Jul 27, 2018
- 152
- 220
Naomba msaada katika Hilo maana Mimi mgeni katka kutumia kompyuta na nahitaji kuitumia katika Mambo ya shule lakini haifungui mafile muhimu Kama Excell, Microsoft word na mengne.kama nakosea kuyafungua ntumie njia gani pale inapoandika "open with"