Dell.. Plug in not charging shida ni nini?

Ingia YouTube au Google kawaida uulize kulingana na tatizo lako kuna namna ya kufanya trableshooting ila endapo tu kama tatizo si Adaptor au Battery.
 
jarib hii:
CHOMOA adapter kwenye umeme, chukua head-pin kale unakachomekaga kwenye laptop, unga wire ili positive(ndani) na negative(nje) iungane, shikilia kwa dakika 2 then jaribu
 
jarib hii:
CHOMOA adapter kwenye umeme, chukua head-pin kale unakachomekaga kwenye laptop, unga wire ili positive(ndani) na negative(nje) iungane, shikilia kwa dakika 2 then jaribu
Mkuu sijaelewa ata kidogo
 
Tatizo linaweza kuwa ni la software au hardware cha kufanya

ili kujua kama ni hardware (charge yenyewe) jaribu ku charge kwa kutumia charge nyingine au chukua charge yako ijaribu kwenye computer ya mtu mwingine kama charge yako ndio tatizo cha kufanya

kumbuka solution hii ni kwa dell laptop: Kama ww una idea na electronics ifungue, upande wa secondary wa charge yako kuna transistor ilio karibu kabisa na waya wa kupeleka charge kwenye pc mara nyingi dell zina waya tatu +v(vcc), -v(ground) na watatu ni wa current limiting ule ambao ukiangalia ktk kichwa pale unauona kwa ndani kama kisindao transistor ile ina unganishwa ktk waya huu wa current limiting mara nyingi huwa inaharibika na kupelekea tatizo, hivyo kubadilisha baranyingi una solve tatizo.

kama ni software(umejaribu ku charge ktk pc nyingine charge iko fresh) cha kufanya anza kwa ku chomoa battery kisha chomoa charge kisha bonyeza button ya power kwa kama sekunde 40 kisha achia chomeka tena vyote jaribu ikigoma Update BIOS

Conclusion
Mara nyingi tatizo hilo lipo kwenye dell laptops na linasababishwa na charge yako na kubadili charge au ku repair ndio kuna solve tatitizo. Fanya hivyo then nipe feedback
 
Tatizo linaweza kuwa ni la software au hardware cha kufanya

ili kujua kama ni hardware (charge yenyewe) jaribu ku charge kwa kutumia charge nyingine au chukua charge yako ijaribu kwenye computer ya mtu mwingine kama charge yako ndio tatizo cha kufanya

kumbuka solution hii ni kwa dell laptop: Kama ww una idea na electronics ifungue, upande wa secondary wa charge yako kuna transistor ilio karibu kabisa na waya wa kupeleka charge kwenye pc mara nyingi dell zina waya tatu +v(vcc), -v(ground) na watatu ni wa current limiting ule ambao ukiangalia ktk kichwa pale unauona kwa ndani kama kisindao transistor ile ina unganishwa ktk waya huu wa current limiting mara nyingi huwa inaharibika na kupelekea tatizo, hivyo kubadilisha baranyingi una solve tatizo.

kama ni software(umejaribu ku charge ktk pc nyingine charge iko fresh) cha kufanya anza kwa ku chomoa battery kisha chomoa charge kisha bonyeza button ya power kwa kama sekunde 40 kisha achia chomeka tena vyote jaribu ikigoma Update BIOS

Conclusion
Mara nyingi tatizo hilo lipo kwenye dell laptops na linasababishwa na charge yako na kubadili charge au ku repair ndio kuna solve tatitizo. Fanya hivyo then nipe feedback
Na HP inakuaje Mkuu?
 
Na HP inakuaje Mkuu?
Mimi natumia Hp mara kadhaa huwa napata meseji hiyo, Huwa nafanya hivi na tatizo linakwisha.
1. Chomoa Adapter kutoka kwenye laptop na kwenye umeme.
2. Zima Laptop yako
3.Toa betri yake
4.Chomeka Adapter kwenye umeme
5.Unganisha Adapter na laptop yako
6.Washa laptop yako , Tumia ikiwa imechomekwa direct kwa dakika moja au mbili then zima laptop yako rudishia betri na utumie kama kawaida.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom