Dell optiplex gx620

Amoeba

JF-Expert Member
Aug 20, 2009
3,289
781
hii machine amenunua jamaa yangu, haisomi cd, wala cd rom haionekani kabisa. tumejaribu kubadili cd drive lakini hakuna kitu (wala haiombi instalation.....ng happens!!!), tumejaribu kubadili cable lakini wapi!!!!....kimya. Tunaomba msaada kutoka kwa wataalamu, au mtu yeyote mwenye kuhisi hii mashine inaumwa nini.
Asante
 
huwa si rahisi kuelewa chanzo cha tatizo kama hilo kwa urahisi, especially kwa kuwa mashine ni used - huenda aliyekuwa nayo awali aliichokonoa.

lakini mara nyingi linaweza kuwa ni tatizo la drivers (software inayowezesha kifaa kama hicho kufanya kazi katika kompyuta).

hakikisha kompyuta yako iko na updates zote muhimu (kama upo connected kwenye net), vile vile ikiwezekana identify optical drive - kisha nenda kwenye website husika halafu re-install au update driver.

inaweza kusaidia na inaweza isisaidie. but give it a try.
 
huwa si rahisi kuelewa chanzo cha tatizo kama hilo kwa urahisi, especially kwa kuwa mashine ni used - huenda aliyekuwa nayo awali aliichokonoa.

lakini mara nyingi linaweza kuwa ni tatizo la drivers (software inayowezesha kifaa kama hicho kufanya kazi katika kompyuta).

hakikisha kompyuta yako iko na updates zote muhimu (kama upo connected kwenye net), vile vile ikiwezekana identify optical drive - kisha nenda kwenye website husika halafu re-install au update driver.

inaweza kusaidia na inaweza isisaidie. but give it a try.

thanks mzee, lakini itawezekana vp ku-update driver wakati hardware haionekani hata kwenye manager?...inachanganya kidogo!
 
1. Angalia kama IDE slot kama ziko fresh yaani zi swap IDE ya Hard disk na ya CD hapo utagundua kuwa slot ndio inashida au lah.

2.Washa komputer then ingia kwenye bios settup kisha switch on all drivers yaani IDE 1,2,3,4 then uwashe maana kama computer ili wahi kutolewa cd huwa ina ditect na kuturn off all unussed slot hivyo inawezekana ikawa imekuwa offline.Solution niku iturn on ktk bios.

3. Angalia jumper za cd rom yako je ziko fresh? kama ktk slot ipo pekee inatakiwa iwe master.

Njia rahisi ya kusorve ilo tatizo fanya hivi iwapo slot imekuwa mbaya tafuta cable ambayo utaweza kuconnect HDD na CD kisha uviconnect vyote kwa upamoja. na kufanya moja master na nyengine slave.

Kwakumalizia download dell bios firmware updates ila hii inaitaji umakini wa hali ya juu maana kosa moja unaweza kuizimisha komputer 4 ever.
 
1. Angalia kama IDE slot kama ziko fresh yaani zi swap IDE ya Hard disk na ya CD hapo utagundua kuwa slot ndio inashida au lah.

2.Washa komputer then ingia kwenye bios settup kisha switch on all drivers yaani IDE 1,2,3,4 then uwashe maana kama computer ili wahi kutolewa cd huwa ina ditect na kuturn off all unussed slot hivyo inawezekana ikawa imekuwa offline.Solution niku iturn on ktk bios.

3. Angalia jumper za cd rom yako je ziko fresh? kama ktk slot ipo pekee inatakiwa iwe master.

Njia rahisi ya kusorve ilo tatizo fanya hivi iwapo slot imekuwa mbaya tafuta cable ambayo utaweza kuconnect HDD na CD kisha uviconnect vyote kwa upamoja. na kufanya moja master na nyengine slave.

Kwakumalizia download dell bios firmware updates ila hii inaitaji umakini wa hali ya juu maana kosa moja unaweza kuizimisha komputer 4 ever.

nshukuru mzee, im trying out option number 2, ill let you know the results. hizo zingine nimeshajaribu bila majibu
 
Back
Top Bottom