Cheche Mtungi
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 2,619
- 771
Wakuu hii machine uki click ie ukifungua my computer halafu ukiclick kwenye cd/dvd rom inafunguka hata kama haina cd.
Mabingwa wa teknolojia msaada!
Mabingwa wa teknolojia msaada!
<br />Wakuu hii machine uki click ie ukifungua my computer halafu ukiclick kwenye cd/dvd rom inafunguka hata kama haina cd.<br />
Mabingwa wa teknolojia msaada!
teh teh teeh, ndio kawaida kuwa hivyo mkuu.Wakuu hii machine uki click ie ukifungua my computer halafu ukiclick kwenye cd/dvd rom inafunguka hata kama haina cd.
Mabingwa wa teknolojia msaada!
Wakuu hii machine uki click ie ukifungua my computer halafu ukiclick kwenye cd/dvd rom inafunguka hata kama haina cd.
Mabingwa wa teknolojia msaada!
hiyo new window unayoisema wewe mbona mwenye thread hajaandika hivyo,,au na wewe una shida ya window kufunguka ukiClick cd rom??:brick:Inaonekana hamjaelewana kiswahili. Kwa nilivyomuelewa mimi ni kwamba akiclick icon ya dvd rom, new window inafunguka na sio hardware inayofunguka. Ndo anauliza ni sahihi.