Eck fulani
JF-Expert Member
- Oct 14, 2014
- 457
- 584
Aisee ndio maana naipenda sana JamiiForums. Hii mada inanigusa sana kwa maana hili swala limeniweka katika fikra tofauti bila ya kupata ufumbuzi wa uhakika.
Imekuwa ikitokea mara kwa mara kwa upande wangu ninaweza fika eneo geni ambalo najua sijawahi kanyaga katika maisha yangu lakini ghafla naanza kuhisi jambo kwamba kitatokea hiki na kile eneo husika na mambo ya kawa vile vile yaan kwa jinsi nitakavyohisi inaonesha wazi kwamba nimewahi kufika eneo lile lakini sikumbuki ni lini yaani.
Pia leo nimestuka zaidi maana katika kumbukumbu zangu nimewahi kukutana na hii mada ila sijui ni wapi..
Natumaini tutapata elimu zaidi hapa juu ya swala hili.
Imekuwa ikitokea mara kwa mara kwa upande wangu ninaweza fika eneo geni ambalo najua sijawahi kanyaga katika maisha yangu lakini ghafla naanza kuhisi jambo kwamba kitatokea hiki na kile eneo husika na mambo ya kawa vile vile yaan kwa jinsi nitakavyohisi inaonesha wazi kwamba nimewahi kufika eneo lile lakini sikumbuki ni lini yaani.
Pia leo nimestuka zaidi maana katika kumbukumbu zangu nimewahi kukutana na hii mada ila sijui ni wapi..
Natumaini tutapata elimu zaidi hapa juu ya swala hili.