kali popote
JF-Expert Member
- May 3, 2017
- 394
- 281
Wangwaana wote niwasalimu
Mimi ni msomi ngazi shahada ya ugavi,niliohitimu moja ya chuo hapa tz miaka mitatu iliyopita,kinachoniumiza nimeshindwa kuitendea haki taaluma yangu hadi sasa nimeamua kujiingiza kwenye ajira ya mkataba ni mwaka wa tatu sasa napambana na ushuru wa masokoni kwenye halmashauri moja ya jiji hapa tz,changamoto ni nyingi mno tunakumbana nazo ikiwemo dharau, kejeli,matusi na hata kuvunjiwa utu wako tena wanakuona hamnazo,huna elite na umepoteza dira ndio maana unakata Ushuru...ni kweeli kazi hiyo inachangamoto kulingana na ajira zimekuwa adimu inabidi mtu ukomae tu kibishi ukizingatia ninaye mke na mtoto mmoja, pia ukizingatia ndo baba.....wajuzi wa mambo nahitaji japo ushauri wenu juu ya jambo hili walau nipate mawazo mapya juu ya jambo hili ili ikiwezekana nipambane kivingine.....ahsante
Mimi ni msomi ngazi shahada ya ugavi,niliohitimu moja ya chuo hapa tz miaka mitatu iliyopita,kinachoniumiza nimeshindwa kuitendea haki taaluma yangu hadi sasa nimeamua kujiingiza kwenye ajira ya mkataba ni mwaka wa tatu sasa napambana na ushuru wa masokoni kwenye halmashauri moja ya jiji hapa tz,changamoto ni nyingi mno tunakumbana nazo ikiwemo dharau, kejeli,matusi na hata kuvunjiwa utu wako tena wanakuona hamnazo,huna elite na umepoteza dira ndio maana unakata Ushuru...ni kweeli kazi hiyo inachangamoto kulingana na ajira zimekuwa adimu inabidi mtu ukomae tu kibishi ukizingatia ninaye mke na mtoto mmoja, pia ukizingatia ndo baba.....wajuzi wa mambo nahitaji japo ushauri wenu juu ya jambo hili walau nipate mawazo mapya juu ya jambo hili ili ikiwezekana nipambane kivingine.....ahsante