Degree ya socialogy

Raelish

JF-Expert Member
Jul 17, 2013
489
162
Wadau kuna jamaa kaka yangu anamaliza TECU mwaka huu amepiga hiyo kozi, jana aliniuliza vipi kuhusu soko la ajira kwa kozi yake nikamwambia ngoja nilipeleke kwa wenyewe wadau wa elimu watafafanua zaidi. karibuni jaman, vp soko la ajira kwa hiyo kozi lipoje? au aandae tu mtaji ajiajiri
 
Wadau kuna jamaa kaka yangu anamaliza TECU mwaka huu amepiga hiyo kozi, jana aliniuliza vipi kuhusu soko la ajira kwa kozi yake nikamwambia ngoja nilipeleke kwa wenyewe wadau wa elimu watafafanua zaidi. karibuni jaman, vp soko la ajira kwa hiyo kozi lipoje? au aandae tu mtaji ajiajiri

Duh!.. kama kasoma na ku graduate ndo anaulizia soko binafs naona it is too late, angefanya ivo mwanzani wakati anafikiria kuanza kuisoma.. Cha msingi hapo kama ananafasi ya kupata huo mtaji ni bora awe mjasiliamali, vinginevyo apapambane kwenye soko la ajira basi.
 
1. Ni SOCIOLOGY and not SOCIALOGY.
2. Nina waswas kidogo na ulichokiandika kama ni ukwel kwa7b hakuna mwanafunz anaejielewa akaulizia kuhusu ajira akiwa mwaka wa mwisho wa masomo na kama ni kweli basi kaka yako sio mfano wa kuigwa..
3. Ushindani wa ajira ni mgumu kidogo unaposoma course hyo lakini kwa baadhi ya vyuo (mf. UDSM) ukisoma Sociology kuna course nne ndan ya sociology (Industry, policy, medical & Community dvpnt) na kila mwanafunz ataspecialize coz moja anayoitaka asome. kwa m2 anayesoma Industry ajira lazima!
 
Yaan finalist halaf anaomba ushaur kuhusu ajira inakuwaje!!,hv umesema yupo chuo gan vile,Teku!!
 
1. Ni SOCIOLOGY and not SOCIALOGY.
2. Nina waswas kidogo na ulichokiandika kama ni ukwel kwa7b hakuna mwanafunz anaejielewa akaulizia kuhusu ajira akiwa mwaka wa mwisho wa masomo na kama ni kweli basi kaka yako sio mfano wa kuigwa..
3. Ushindani wa ajira ni mgumu kidogo unaposoma course hyo lakini kwa baadhi ya vyuo (mf. UDSM) ukisoma Sociology kuna course nne ndan ya sociology (Industry, policy, medical & Community dvpnt) na kila mwanafunz ataspecialize coz moja anayoitaka asome. kwa m2 anayesoma Industry ajira lazima!

Mkuu jamaa amepata chance fulan ya kufanya biashara na mtu lakn anahitajika kwa mwaka mmoja tu, sasa akawa yupo njia panda kwamba asije akaenda huko kumbe kuna uwezekano wa kuajiriwa mapema tu, anaogopa asije akapoteza fursa.. ni kama anatafiti hivi
 
Wadau kuna jamaa kaka yangu anamaliza TECU mwaka huu amepiga hiyo kozi, jana aliniuliza vipi kuhusu soko la ajira kwa kozi yake nikamwambia ngoja nilipeleke kwa wenyewe wadau wa elimu watafafanua zaidi. karibuni jaman, vp soko la ajira kwa hiyo kozi lipoje? au aandae tu mtaji ajiajiri

Kalime bamia huko socialogy ndo nini
 
Wadau kuna jamaa kaka yangu anamaliza TECU mwaka huu amepiga hiyo kozi, jana aliniuliza vipi kuhusu soko la ajira kwa kozi yake nikamwambia ngoja nilipeleke kwa wenyewe wadau wa elimu watafafanua zaidi. karibuni jaman, vp soko la ajira kwa hiyo kozi lipoje? au aandae tu mtaji ajiajiri
Kaka kwa ujumla soko la ajira ni gumu, lakini inategemea zaidi na kichwa cha huyo nduguyo (kwa maana ya uwezo wake wa kujitambua, kuchambua mambo, kujiamini, kuweza kushawishi kwamba anaweza akatumia ujuzi alio upata TEKU, kufanikisha malengo ya taasisi nk.). Kwa hiyo ajira iko kichwani kwake.
Naomba niulize swali: kwa mfano mwisho wa siku ukaja kugundua hii kozi aliyo soma haina "dili" utafanya/mtafanya nini?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom