Degree ya sasa imechuja kulinganisha na miaka ya nyuma

Najaribu kufikiria nini hasa lengo la mtoa maada.
  1. Je unaposema imechuja unamaanisha haina thamani au wasioelimika wanashindwa kutambua thamani yake?
  2. Je unapimaje uthamani wa degree?
  3. Je ratio ya mafanikio ya wenye degree na wasio na degree ikoje ukiangalia kwa idadi yao?
  4. Nini kifanyike ili huko kuchuja kuondoke au kupungue?
Mantiki, maswali ya kifalsafa haya. Hapa, salute Mkuu
 
Back
Top Bottom