The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,254
- 42,873
Elimu inayokwambia Mwanadamu alitokana na Nyani sindo hiyo hiyo inaendambali hadi degree? Mimi sijabahatika kusoma sana ila nilifundishwa hvyo maybe nikuulize na kina Daniel walifundishwa hvyo kumkana Mungu?
Hapo ndio unapochanganya mambo sasa. Hapa tunajadili hii hii elimu ya aeiou na hesabu za 123456....huo mjadala wa theology tunaweza kuuanzishia uzi mwingine.
Nnachokushauri, usitazame kila kitu katika mtazamo wa aina moja.