Allied Health practitioner anafanya kazi gani. Nimeona kwa Walter KimaroAngalia hapo juu kuna mwenzetu katoa mfano wa aliyesajiliwa na jinsi anavyotambulika !Fuatiali thread toka mwanzo
Allied Health practitioner anafanya kazi gani. Nimeona kwa Walter KimaroAngalia hapo juu kuna mwenzetu katoa mfano wa aliyesajiliwa na jinsi anavyotambulika !Fuatiali thread toka mwanzo
Mambo ya equivalency kwenye afya za watu hapana.Kama ni kweli unachoongea swali kwanini Tanzania hisianzishe haya mambo hili kuwa patia vijana wetu wa diploma nafasi ya kijiendeleza equivalent to medical doctor
Kwasababu vyuo vya diploma Ni vingi mno related to health program
ShukraniUko nje ya mada !Anchisha thread yako utajibiwa .Tunamjibu Twyn aliyetaka kujua ,Jinsi ilivyo huku nje na hapa kwetu Tanzania.Na sisitiza uko nje ya thread ya mwenzako
Mkuu naomba ufatilie mada vizuri !!Unarudia rudia maswali yako .Nimekujibu sana hili swali au hauko Kada ya afya?Allied Health practitioner anafanya kazi gani. Nimeona kwa Walter Kimaro
We kweli wa mbagala, yaani kila kitu kipo wazi, na mabadiliko ya kuwatambua waliosoma degree ya Clinical Medicine yamefanyika mwezi wa 7 km sijakosea, upo nyuma sana mkuu.Nime search jina moja hilija sajiriwa tupo katika hi kada tunajua mengi hila Hilo la bsc in clinical medicine so complicated
Shukrani mkuu, nilikuwa Sina update za maclinical officer wenye degree ya clinical medicine hila karibu mjini😃 tule salary ya TGHS D.We kweli wa mbagala, yaani kila kitu kipo wazi, na mabadiliko ya kuwatambua waliosoma degree ya Clinical Medicine yamefanyika mwezi wa 7 km sijakosea, upo nyuma sana mkuu.
We kweli wa mbagala, yaani kila kitu kipo wazi, na mabadiliko ya kuwatambua waliosoma degree ya Clinical Medicine yamefanyika mwezi wa 7 km sijakosea, upo nyuma sana mkuu.
We kweli wa mbagala, yaani kila kitu kipo wazi, na mabadiliko ya kuwatambua waliosoma degree ya Clinical Medicine yamefanyika mwezi wa 7 km sijakosea, upo nyuma sana mkuu.
Ndugu Anatomist, naomba uwe mental wangu ili unisaidie kufanijisha jambo hili kama hutojali.Wewe jamaa natamani sana ningekuunga na team yeti nahisi ,ungebadilika kitu Kama hukijui vizuri kwanini utoe hisia zako kupotosha.??
Karibu sana mkuu,tuna group la WHATSAP lenye watanzania waliomaliza kozi hii,wanafunzi wanaoendelea na kozi hii na wanaohitaji kusoma kozi hii.Ni pm namba yako ya Whatsapp.Ndugu Anatomist, naomba uwe mental wangu ili unisaidie kufanijisha jambo hili kama hutojali.
YES unafanya mtihani wa pre and post interniship pamoja na MD na baada ya hapo utapangiwa hospitali for InternshipNa utaratibu upoje ukitaka kwenda kusoma..unapita kwanza TCU au unaendasoma tuu na je ukimaliza shule unaenda TCU kupata equivalents au ipoje Mkuu