Inahusu ujuzi wa vipimo mbalimbali vya maabara hasahasa vipimo vya DNA.
Ukisoma kozi hiyo unaweza kufanya kazi kazi kwenye maabara za hospitali au polisi kwenye kitengo cha forensic science, maabara za idara ya wanyamapori au mifugo au ofisi ya mkemia mkuu. Vilevile unaweza kufundisha katika level mbalimbali au kuwa mtafiti. Tembelea hapa uone baadhi ya ajira za kozi hiyo Tanzania Government Chemist Laboratory Agency(GCLA).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.