end justify means
Senior Member
- Jan 16, 2014
- 128
- 23
Hakuna nchi yeyote Duniani iliyoweza wapatia ajira raia wake wote ajira hiwe ni Marekani, Russia, au hata nchi nyingine yeyote tajiri unayo hifahamu kulalamikia ajira serekali haito ni hoja hafifu inayo dhihirisha kushindwa kwako katika maisha yako leo hata viwanda vyote vifufuliwe bado watu wote hawata pata ajira, vijana tumekua wavivu wa kudhubutu, wavivu hata kufikiri, imagine kijana yuko chuo anapewa hela ya mkopo anakulaaa hela yote maadaz asubh miaka mitatu kutenga laki 2 tuu achukue leseni hawezi eti hela ya kujikimu ndogo haitoshi sasa hivi kila akicheki job requirement driving licence will add advantage anabaki shangaa vijana tuamke tujiwekee malengo ww una degree unataka uajiriwe nakuhakikishia there are lot in town to giv u money chemsha kichwa chemsha kichwa toka hapo nyumban kwa mama yako kwa kaka yako, kwa dada yako nenda katafute maisha yako I am telling u I just need u to understand Ur degree on ur file without labor on ur back is nothing total
Nothing u can crame that if it becomes difficult to understand thanks... GDENCE
Nothing u can crame that if it becomes difficult to understand thanks... GDENCE