BRO SANTANA
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,845
- 2,245
Habari wakubwa.
Nina gari yangu toyota runx.
Sasa juzi nilitoa stick ya oil ili nicheck level sasa wakati nafuta na kitambaa imekatika bahati mbaya.
Nikaunga na super glue.
Sasa niliporudishia na kuchomoa tena kale ka kipande kamebaki lkn kanaoneka kapo kwa juu.
Naomba kujua kama naweza pata spea yake na ni bei gani na je kale kalikobaki kakishuka ndani ya engine kuna madhara?
Nitashukuru.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina gari yangu toyota runx.
Sasa juzi nilitoa stick ya oil ili nicheck level sasa wakati nafuta na kitambaa imekatika bahati mbaya.
Nikaunga na super glue.
Sasa niliporudishia na kuchomoa tena kale ka kipande kamebaki lkn kanaoneka kapo kwa juu.
Naomba kujua kama naweza pata spea yake na ni bei gani na je kale kalikobaki kakishuka ndani ya engine kuna madhara?
Nitashukuru.
Sent using Jamii Forums mobile app