Mi mwenyewe ni mmoja waoPole yao
pole tenaMi mwenyewe ni mmoja wao
Hhahaha wewe hayaja kukuta?Ingia kwenye music channel yoyote eg YouTube uuangalie wimbo huu "let her go" umeimb a na passenger
Mi mwenyewe nimekuwa muhanga ila ndio maisha! Naamin siku chozi langu litafutwa! Nakutamia maisha mema mama A....n...!
"Akunyimae kunde.. !"
Tuache utani, kuna mtu anajiandaa kunikataa!
Yamenikuta mkuuHhahaha wewe hayaja kukuta?
iSafi kabisa mkuu lazima utaishi kwa amaniKupenda kwa mwanaume inatakiwa 35%(fall in love)
50% unahifadhi(insurance)
15% TRA (kodi makato ya kupenda)