OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,714
Muhuni alipigwa tukio,kwa hasira akakimbilia studio kuchana mistari. Hii nawapa kama dedication kwa members wooote wanaopigwa matukio ya kusalitiwa kimapenzi.
Kila nikifungua MMU nakutana na vilio -nimesalitiwa,nishaurini nifanyaje. Poleni sana lakini punguzeni kulialia. Kaza!!
Haya mambo ya kusalitia ni days of our life. Yapo toka enzi na enzi,biblia imeandika jinsi watu walivyopigana matukio kabla na baada ya Yesu. Kwa hiyo ukioa/kuolewa usijipe sana uhakika,jua yanawezekana. Ili siku ukipigwa you have to take easy and move on. Ukiwa fresh unafanya maamuzi,upotezee au upige chini huyo mpenzi.
Wanaosumbua sana ni hawa wanaojidanganya,mpenzi wangu hawezi kugongwa nje!!! We nani,kama wamegongewa watu wa kwenye biblia itakuwa wewe bwana.