Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Mbona kwenye wizi wa kura hawakumsimamisha?
alikua lecturer paleKumbe aliwahi kuwa lecturer?
Halafu kweli,hile kesi iliishiaga wapi, au alitolewaga kinyemelaHii ni non-issue. Watuambie Mkurugenzi ndugu yake Magufuli alieua Msabato kanisani nini kinaendelea. Mabati yamerudishwa tunaweza kuendelea, na uhai uliotolewa je?
Ashawah kufundisha LGTI HomboloHuyu jamaa anaiharibia sifa chuo cha mipango malecturer vichwa maji kama hawa sio kabisaa
Leo sept 10, 2021 waziri wa nchi, ofisi ya Rais-Tamisemi Mhe. Ummy mwalimu amemsimamisha kazi aliyekuwa mkurugenzi wa gairo bw. Asajile Mwambambale kupisha uchunguzi wa tuhuma za wizi wa mabati anayodaiwa kuiba na wenzake wakati akiwa mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya kilosa kabla ya kuhamishiwa halmashauri ya gairo mkoani morogoro.
Taarifa ya kuhusu kusimamishwa kwa mkurugenzi huyo hii hapa,
View attachment 1931947
Pia soma,
Thread 'Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Gairo akamatwa na Polisi kwa tuhuma ya wizi wa mabati' Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Gairo akamatwa na Polisi kwa tuhuma ya wizi wa mabati
Thread 'Ni jambo la kushangaza kwa Mkurugenzi aliyeiba mabati kuendelea kuwa ofisini hadi muda huu' Ni jambo la kushangaza kwa Mkurugenzi aliyeiba mabati kuendelea kuwa ofisini hadi muda huu
ckuwah kujua mn irdp n hombolo yote yanalinganaAshawah kufundisha LGTI Hombolo