DED wa Gairo aliyeiba mabati ya Shule asimamishwa kazi.

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
A9EF9C12-12AE-4D56-B0FF-A03960AFB4C8.jpeg
 
CCM imejaa majizi na majangili tupu, huyu ni DED ni mwizi ni wale ambao walitoka UVCCM na kupewa vyeo bila kuwa watumishi wa umma(senior officer).
 
Kazi za serikali ni ngumu sana. Utakuta serikali inaandika story ndefu kujulisha wananchi lakini wakishindwa hawaandiki kujulisha wanainchi kwamba mtuhumiwa ameonekana hana hatia na anarudishwa kazini. mara nyingi wanarudishwa kimya kimya
 
Wapo watumishi wamefukuzwa Kazi kwa kupewa elf 5 tu kama asante lakini majizi makubwa huwa yanasimamishwa
 
Back
Top Bottom